Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kinachoniudhi sasa hivi ni washenzi wa Facebook wameniblock... Arsenal wamenipunguzia machungu.
 
Ozil agaiiiiin.....!

vlcsnap-2016-10-19-21h24m45s75-large_trans++EDjTm7JpzhSGR1_8ApEWQA1vLvhkMtVb21dMmpQBfEs.jpg

So easy
 
f346eecf-35b4-4757-b1b6-351f16cd0df4.jpg


Arsenal ikienda Sofia inatakiwa kuwamaliza kabisa hawa jamaa ili kuwa na uhakika wa kuongoza kundi hili kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi.

Ila mechi na PSG hapo tarehe 23 November ndiyo itaamua.
 
Back
Top Bottom