philbert kuwingwa
Member
- Oct 13, 2016
- 30
- 8
chezea wew
Hivi vitumu vyingine bana mechi nyingine zote havitaki kukaza miguu, vikija emirates ndo vinajifanya vidume. Vione
Hahaaa wamemzawadia mayai mawili......Hamjamtendea fair babu na birthday yake.....matokeo ya Leo hadi raha bora mpunguzaneni kasi ninyi wenyewe wengine tuwakute.![]()
![]()
...... hongereni kwa draw
Leo wapole......![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wananchi bhana, eti mmekutana na kisingeli
Hamjamtendea fair babu na birthday yake.....matokeo ya Leo hadi raha bora mpunguzaneni kasi ninyi wenyewe wengine tuwakute.![]()
![]()
...... hongereni kwa draw
Duh!Fire ya kifuu cha nazi.
Umelazimishwa? hahahahaasee hakuna timu nalichukia kama hili mnaloshabikiaa ...timu mbovuuuuu...
wore hao mbwembwe tu ..wanavuma baada ya bech mbili wanapoteaa
mmekutana na vibondee Conte atawanyoosha wee ngoja tuu
Povu la nini tulia wew dawa ikuingieHawa ma-loser wamecheza defensive kama Manchester United wiki iliyopita, keshokutwa utawaona wanapigwa 5 mtungi na Burnley or Hull. Timu mbovu kama hizi(zilizo defensive ) hazina haki ya kuwa premier League


Nyi nafasi yenu mnaijua musihangaishe watu bana, musilete visingizio bure, wiki 2 zijazo mabango wenga outUmefurahi mpaka kunako 🙂🙂. Hongera kwa kufurahia sare yetu. Usikose kupita hapa kesho kushangilia kunyukwa kwenu 2-0. Hii mechi nilikuwa na wasiwasi nayo maana mechi na vitimu hivi vya hovyo hovyo huwa hatuzipi uzito unaostahili matokeo yake mara nyingi tunaadhiriwa, leo almanusra tunyukwe kama si bahati ya Mungu basi zingeweza kuwa hata 2-0 kama siyo 3-0. Wameniudhi sana hawa.

Poyeeeee jamani lakini bora nusu Shari kuliko Shari Kamili. ..... kesho natoka na ushindi wangu sina wasiwasi tumejipanga vizuri tu,vitimu vidogo nomaaaa sana ila nimesikitika hamjatenda fair kny birthday ya babu.....Leo siyo nyie tu si unaona Hata Hotspurs na Everton.Umefurahi mpaka kunako 🙂🙂. Hongera kwa kufurahia sare yetu. Usikose kupita hapa kesho kushangilia kunyukwa kwenu 2-0. Hii mechi nilikuwa na wasiwasi nayo maana mechi na vitimu hivi vya hovyo hovyo huwa hatuzipi uzito unaostahili matokeo yake mara nyingi tunaadhiriwa, leo almanusra tunyukwe kama si bahati ya Mungu basi zingeweza kuwa hata 2-0 kama siyo 3-0. Wameniudhi sana hawa.