Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi nina swali naomba kuuliza hapa ndani.

Hivi vile vitambaa ambavyo wachezaji siku hizi wanavaa (vyeusi) huwa vinaashiria nini, maana mimi nachojua anatakiwa avae nahodha je kwa hawa wengine wanapovaa huwa vina maana gan?

Msaada tafadhali.

Black armbands mara nyingi ni kwa ajili kuonyesha respect kwa waliotangulia inategemea game husika wanamkumbuka nani.
 
Black armbands mara nyingi ni kwa ajili kuonyesha respect kwa waliotangulia inategemea game husika wanamkumbuka nani.
Ok, kumbe nashukuru kufahamu hili maana siku za hv karbn nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu hilo jambo.
 
Sawa Mata 1 wale wahuni akina Mane wana nyingi unahitaji ujipange Liva wanacheza as a team recently kuliko Utd
We subiri hyo j3 uone, wenyewe si wanajua kukimbia kimbia tu

one mistake one goal
 
We subiri hyo j3 uone, wenyewe si wanajua kukimbia kimbia tu

one mistake one goal

Mpwa unahitaji zaidi bahati kwa wale wehu maana wana speed hatari na wewe una wachezaji mabingwa wa walking football ngoja tusubiri j3 ingawa najua unatamani siku isifike.
 
xhaka-1.jpg

Mwamuzi John Moss leo aliitwa "clown of the week."
xhaka-2.jpg

Granit Xhaka alipomkwatua Modou Barrow kila mtu alidhani ingetoka kadi ya njano.

Lakini akaingiza mkono mfukoni na guess what?- kadi nyekundu.
 
Usijali mkuu, ndio kipindi chenu cha kunawili hiki wala usiwe na presha, we subiri tu ifike February

Mkuu, Arsenal watasajili ikifika January ili kuongeza nguvu mzee Wenger anataka kuondoka na rekodi.

Vipi mmejiandaa jumatatu?
08CF914E000005DC-3838505-image-a-20_1476461420619.jpg


Unakumbuka hili goli?
 
Mkuu, Arsenal watasajili ikifika January ili kuongeza nguvu mzee Wenger anataka kuondoka na rekodi.

Vipi mmejiandaa jumatatu?
Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!

Anyone? ☝️☝️
 
Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!

Anyone?
Kamari. Kamari. Kamari.
 
Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!

Anyone?

ku bet ukiwa na maana ipi kua specific kidogo.
 
ila arsenal kukaa pale kileleni kwa sasa hivi ni matatizo, maana presha ya ku mantain position itakua kubwa, itatupelekea tusifanye vizur cha msing ni ku close gape tusiwe mbali na mtangulizi

Nakubaliana na wewe. Kinachotakiwa ni kukaa beneti na kiongozi kwa pointi chache. November na December ni very crucial time, kuna mechi 5 ngumu (Spurs, MANU, Everton, Stoke, Man City) Tukiondoka na pointi 9 bila kupoteza hata mechi moja (2 wins ,3 draws) tutajiweka katika nafasi nzuri kuchallenge for title. Anyway ku-wish inakuwaga rahisi kuliko inavyotokea. Nachoomba tusipate injuries kwa key players katika miezi hii hadi March kama ilivyo desturi.
 
ku bet ukiwa na maana ipi kua specific kidogo.
Hujui maana ya kubet? Si nimesema hapo, let's bet kama Goobers mtashinda title under Wenger this season? Hujaelewa nini? Niwe specific vipi?

I put USD 200, the loser pays the money to JF.
 
imebidi nimuulize vizuri nahisi sijaelewa kabisa.....sixth win in row imewaamsha warithi wa sheikh Yahya ngoja tuone.
Pengine umesahau. I don't even remember how long I have betting on Goobers not winning the EPL and UCL! One time I was against rubaman, and you know how it went down!
 
Pengine umesahau. I don't even remember how long I have betting on Goobers not winning the EPL and UCL! One time I was against rubaman, and you know how it went down!

I'm football fan kwa miaka mingi na ni gooner way back yaani na umu daily nasema kua AW ni coach bora siko na tatizo nae kabisa ila tatizo sijawahi ku-BET even a single day kwenye maisha yangu na sio muumini wa kamari kabisa unless we put it in different way isihusiane na kamari hapo u can count on me tofauti na hapo Nah.
 
Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!

Anyone? ☝️☝️

Tumeshakuzowea Chief. Uli-bet kuwa Arsenal hawatabeba FA cup back to back na endapo wakibeba utapiga picha ukiwa umevaa jezi ya Arsenal. Sasa cha ajabu hatukuona hizo picha, sijui ziliungua au sisimizi aliikanyaga kamera?
 
Tumeshakuzowea Chief. Uli-bet kuwa Arsenal hawatabeba FA cup back to back na endapo wakibeba utapiga picha ukiwa umevaa jezi ya Arsenal. Sasa cha ajabu hatukuona hizo picha, sijui ziliungua au sisimizi aliikanyaga kamera?

Haaaa haaaa mpwa afadhali umekuja mapema nilitaka nikuulize ni msimu upi uli-bet na Inzi?
 
Kama anataka tofauti na kamari za kuweka pesa sina tatizo like kuvaa jersey ya Manure and the like mbona hiyo nishafanya sana last season waliniogesha na nguo zangu siku ile Lei wanatangaza ubingwa kupitia Chelsea Vs Shit.
 
Back
Top Bottom