xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Jiandae kisaikolojia,Mpwa umeandika uku moyo unakundunda naona maandishi hayatuliiaiseee mkikalishwa itakua booooonge la j3
mata hata waacha waleJiandae kisaikolojia,Mpwa umeandika uku moyo unakundunda naona maandishi hayatuliiaiseee mkikalishwa itakua booooonge la j3
mata hata waacha waleMimi nina swali naomba kuuliza hapa ndani.
Hivi vile vitambaa ambavyo wachezaji siku hizi wanavaa (vyeusi) huwa vinaashiria nini, maana mimi nachojua anatakiwa avae nahodha je kwa hawa wengine wanapovaa huwa vina maana gan?
Msaada tafadhali.
Ok, kumbe nashukuru kufahamu hili maana siku za hv karbn nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu hilo jambo.Black armbands mara nyingi ni kwa ajili kuonyesha respect kwa waliotangulia inategemea game husika wanamkumbuka nani.
Jiandae kisaikolojia,![]()
![]()
![]()
mata hata waacha wale


unahitaji ujipange Liva wanacheza as a team recently kuliko UtdWe subiri hyo j3 uone, wenyewe si wanajua kukimbia kimbia tuSawa Mata 1 wale wahuni akina Mane wana nyingiunahitaji ujipange Liva wanacheza as a team recently kuliko Utd
We subiri hyo j3 uone, wenyewe si wanajua kukimbia kimbia tu
one mistake one goal
Nervous, Nervous. Arsenal walicheza vizuri lakini defending ilikuwa kama unavyojua. Kila tuliposhambuliwa ilikuwa vigumu kutazama .6 straight league wins ni big kwetu. Next week UCL tusubiri tuone itakavyokuwa.rubaman always unaacha kuangalia mpila
Usijali mkuu, ndio kipindi chenu cha kunawili hiki wala usiwe na presha, we subiri tu ifike February
Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!Mkuu, Arsenal watasajili ikifika January ili kuongeza nguvu mzee Wenger anataka kuondoka na rekodi.
Vipi mmejiandaa jumatatu?
Kamari. Kamari. Kamari.Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!
Anyone?️
️
Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!
Anyone?️
️


ku bet ukiwa na maana ipi kua specific kidogo.Kamari. Kamari. Kamari.


imebidi nimuulize vizuri nahisi sijaelewa kabisa.....sixth win in row imewaamsha warithi wa sheikh Yahya ngoja tuone.ila arsenal kukaa pale kileleni kwa sasa hivi ni matatizo, maana presha ya ku mantain position itakua kubwa, itatupelekea tusifanye vizur cha msing ni ku close gape tusiwe mbali na mtangulizi
Hujui maana ya kubet? Si nimesema hapo, let's bet kama Goobers mtashinda title under Wenger this season? Hujaelewa nini? Niwe specific vipi?ku bet ukiwa na maana ipi kua specific kidogo.
Pengine umesahau. I don't even remember how long I have betting on Goobers not winning the EPL and UCL! One time I was against rubaman, and you know how it went down!imebidi nimuulize vizuri nahisi sijaelewa kabisa.....sixth win in row imewaamsha warithi wa sheikh Yahya ngoja tuone.
Pengine umesahau. I don't even remember how long I have betting on Goobers not winning the EPL and UCL! One time I was against rubaman, and you know how it went down!
Tatizo hutaki kubet...I'm saying, any of you Goobers' fan who wanna bet with me, let's do it. The bet is whether Wenger will win the title this year or not!
Anyone? ☝️☝️
Tumeshakuzowea Chief. Uli-bet kuwa Arsenal hawatabeba FA cup back to back na endapo wakibeba utapiga picha ukiwa umevaa jezi ya Arsenal. Sasa cha ajabu hatukuona hizo picha, sijui ziliungua au sisimizi aliikanyaga kamera?