Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni kweli kabisa December na January ndiyo miezi mibaya sana kwa majeruhi kwetu. Tukivuka miezi hiyo tuko salama bila majeruhi ya key players na tuko katika nafasi ya kwanza au ya pili kwenye table basi lolote linaweza kutokea.
Lakin bado kuna possiblity kubwa labda kama hujaangalia wapinzani wetu ambao wanaonekana kua tishio
 
Jana niliangalia mechi yote ya Chelsea WANATISHA kama wakiweza kucheza kama jana basi ni moto wa kuotea mbali. Spurs nao wanatisha lakini sikuwaangalia jana maana mechi yao na ile ya Arsenal zilikuwa wakati mmoja hivyo nikaamua kuangalia mechi yetu ila hawa nao wana confidence ya hali ya juu na wanajituma sana wanapokuwa uwanjani. MANU hawa bado wanasuasua naona Mourinho bado hajatulia pale.

Lakin bado kuna possiblity kubwa labda kama hujaangalia wapinzani wetu ambao wanaonekana kua tishio
 
Jana niliangalia mechi yote ya Chelsea WANATISHA kama wakiweza kucheza kama jana basi ni moto wa kuotea mbali. Spurs nao wanatisha lakini sikuwaangalia jana maana mechi yao na ile ya Arsenal zilikuwa wakati mmoja hivyo nikaamua kuangalia mechi yetu ila hawa nao wana confidence ya hali ya juu na wanajituma sana wanapokuwa uwanjani. MANU hawa bado wanasuasua naona Mourinho bado hajatulia pale.
Chelse sio timu ya kuofia insuch, sio sabbu tumewafunga nope ila kuna makocha ambao wanaweza kuwapa wachezaji winning mentality kama klopp na sio guadiola au conte wala mourinho sababu hawanaga plan, nikimzungumzia klopp uwa anambinu sana yule jamaa namuofia hapo tu,

Kwa spurs ni kibarua lakini nimefurahi kuona tumepenya kwa team kama chelsea na swansea japo kibishi lakini inaonesha wazi kua tuna mwanga flani, pia kama uliangalia ile game na liverpool tulipoteana lakini tukarudi mchezoni haraka.

Kama umeangalia vizuri arsenal wananafasi kubwa sana ya kufanya vizuri sababu tuna back up ya kutosha na kuna winning mentalit flani ipo japo bado kahali flani kakulizika kapo.
 
Chelse sio timu ya kuofia insuch, sio sabbu tumewafunga nope ila kuna makocha ambao wanaweza kuwapa wachezaji winning mentality kama klopp na sio guadiola au conte wala mourinho sababu hawanaga plan, nikimzungumzia klopp uwa anambinu sana yule jamaa namuofia hapo tu,

Kwa spurs ni kibarua lakini nimefurahi kuona tumepenya kwa team kama chelsea na swansea japo kibishi lakini inaonesha wazi kua tuna mwanga flani, pia kama uliangalia ile game na liverpool tulipoteana lakini tukarudi mchezoni haraka.

Kama umeangalia vizuri arsenal wananafasi kubwa sana ya kufanya vizuri sababu tuna back up ya kutosha na kuna winning mentalit flani ipo japo bado kahali flani kakulizika kapo.
Guardiola, Conte na Jose hawanaga plan!!?? Umeanza kufatilia mpira msimu huu wa 2016-17 nini, ?
 
Mmepoa kama leo hamchezi jamani.....au mnajua mechi yenu haina mvuto kama ya Barca na Man City.
 
Refaa aliyechezesha mechi ilikuwa cku baada ya mechi ya watani wa jadi na hapo ndo tuone ustarabu wa wachezaji na mashabiki wa kwetu,ss ruling'oa viti na kutishia kumpiga refaree na kibaya sana ni kuingilia maamuzi ya mwamzi kutoa kadi kwa kiongozi aliyekuwa akitaka kumpiga referee na matusi mabaya kabisa, kamati ya nidhamu baaada ya kufanya kikao chao wanafuta adhabu ya kadi nyekundu, je TFF hamkuona mwamzi alivyozongwa hadi akatoka nje ya uwanja, hapo ndo mnataka mpira wa tanzania ukue, na kwa nn hadi sasa kamati haijamakizia adhabu kwa klab ikiyosababisha uvunjifu wa amani uwanjani, tabia hiyo hiyo ambayo TFF inafanya uzembe wa hali ya juu juzi tena huko tanga wamefanya upuuzi huohuo wamepiga refaree hadi ss hakuna hatua zilizochukuliwa au TFF wanasubili maafa yatokee, lakini hiyo hali haiko mbali maafa yatatokea mda si mrefu, ww unategemea nn mbeleni simba tayari alishajiaminisha mwaka huu ubingwa ni wao kama mwaka jana wakiingia uwanjani wanakuwa na matokeo yao mfukoni, mfano akienda mechi mkoani akatoa droo au afungwe na mtani wake akishinda yaani mechi moja tu zinabaki Point 2 na hapo patokee labda goli lao limekataliwa kwa offside au wamefungwa wakiaminishwa goli halikuwa halali hapo TFF mjiandae maana Mwaka huu ni zamu yao ya ubingwa wana hamu nao sana, TFF palipo na makosa chukueni hatua mapema kuepuka vurugu zinazoweza kutokea mda si mrefu kwa timu tofauti itakayokaa kileleni!
 
CvJiE90WcAAilGM.jpg


111548731_Xhaka-large_trans++X0kxSjxoDpjMU82a4enB3R3Klq0dT6B10s_99IEX7go.jpg

Xhaka

111548605_Kos-large_trans++LZ1bJd-I99VgiaPxe-UMcOLPnJ1_HCwOkRsmrPjLnKA.jpg

Boss

111548502_AFC-large_trans++DI1jieMJtrozPRHESlT58utsqa6mkDm2I-k1ikSaXnw.jpg

Mustafi

Wakuu, habari za jioni naona Arsene Wenger ametaja kikosi kitakachongia dimbani kupambana na Ludogorets timu kutoka Bulgaria.

Kuna mabadiliko ambapo leo David Ospina, Kieran Gibbs, ALex Oxlade Chamberlain na Francis Coquelin ni miongoni mwa wale wanaoanza.

Arsenal: Ospina, Bellerin, Mustafi, Koscielny, Gibbs; Cazorla, Coquelin; Walcott, Ozil, Oxlade-Chamberlain na Alexis Sanchez.

Kwenye bench: Cech, Gabriel, Monreal, Xhaka, Elneny, Iwobi, Lucas.

Ludogorets: Stoyanov, Moti, Minev, Palomino, Natanael, Wanderson, Anicet, Dyakov, Misidjan, Marcelinho, na mbele yupo Jonathan Cafu

Timu hii ya Ludogorets inatokea katika kitongoji kiitwacho Razgrad kilichopo nje kidogo mwa mji mkuu wa Sofia.


cef76813-b022-49f4-8aa2-6d84cb2d275e.jpg

Nahodha wa timu anaitwa Svetoslav Dyakov ambae hapo juu amevaa viatu vya rangi ta bahari.

Ludogorets inamilikiwa na mfanyabiashara aitwae Kiril Domuschiev.

Jonathan Cafu ambae ni mbrazil ndiye mshambuliaji wao wa kutegemewa.
 
Arsenal na Lodogorets wapo uwanjani tayari kabisa kwa mtanange.

Arsenal ikishinda mchezo wa leo ina nafasi kubwa ya kuongoza kundi hili maana kwa sasa wanafungana kwa points na PSG.
 
Ludogorets wameanza kwa nguvu kidogo na Wanderson na Cafu wanajaribu kushambulia kila upande.

Arsenal nao wamejibu lakini shuti la Ozil limepaa juu ya goli

Dakina inakwenda ya 5 goli ni 0-0
 
Back
Top Bottom