|Arsenal 3-2 Swansea..
Mambo 5 tulojifunza jana...
1:Swansea ni zile timu wazungu wanaziita ''Bogie teams'' kwa Arsenal...yaani ni kama zimwi likujualo vile.In short, ni timu ambayo inatusumbua sana.Kama ilivyo Stoke City.Msimu ulopita walitupiga 1-2 pale Emirates..
2:Mara zote mechi ya ligi baada ya International break ni balaa...wachezaji wengi huwa wanarudi wamechoka sana..jana,Sanchez hakuwa kwenye kiwango chake,Monreal alipwaya kidogo kama wingback wa kulia baada ya kupelekwa sana na Barrow(aliyechezewa rafu na Xhaka)
3:Walcot,alikuwa moto jana!So far,goli 5 ktk mech 8 za Premier league...Infact alitakiwa apige hata hat-trick au goli4 kabisa...akiendelea hivi atatufikisha mbali.
4.Ozil,the Birth day Boy...kwa sasa naona anaongeza magoli ktk game yake...na anapiga magoli 'magumu' haswa.Technically goli alilofunga jana na lile la dhidi ya Chelsea,ni wachezaji wachache sana wangeweza kufanya vile..jamaa anafanya mpira uonekane rahisi kidogo..
5.Xhaka-red card ya kwanza, na kusababisha goli...jamaa inabidi aongeze nidhamu..next time red card ambazo sii za lazima zitaikosesha timu point za maana sana.
6.Kwa sasa tuna kikosi kikubwa sana.Ukiangaliwa wachezaji ambao hawakucheza-Ramsey,Giroud,Lucas Perez,Jenkinson,Elneny,Gabriel utaona kwamba timu imeenea haswa-kumbuka almost wote hawa ni wachezaji wa timu zao za taifa...Infact inasemekana Wenger ameamua kuwapa Giroud na Ramsey full pre-season exercises iliwarudi form...that's bold !
.....