rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Arsenal kidogo waniue kwa Pressure. Good points, poor defending. Kina nani walikuwa wanasema hii mechi itakuwa rahisi? Kwa mara ya 2 mfululizo tumetolewa kamasi lakini kwa kudra za kimpira tumeshinda.
No kidding, Niliacha kuangalia mechi baada ya Swansea kufunga la 2.
No kidding, Niliacha kuangalia mechi baada ya Swansea kufunga la 2.