Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,636
- 25,617
Yeah meeen......!we're heading to the top tumesogea nafasi moja juu.
Jumatano ijayo tunacheza Emirates na Ludo Razjd kwenye CL na jumamosi itakayofuatia tupo nyumbani tena kuwakaribisha Middlesbrough.
Coquelin na Ramsey wapo fit
18 points kutoka mechi 18 si mbaya.
