Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yeah meeen......!we're heading to the top tumesogea nafasi moja juu.

Jumatano ijayo tunacheza Emirates na Ludo Razjd kwenye CL na jumamosi itakayofuatia tupo nyumbani tena kuwakaribisha Middlesbrough.

Coquelin na Ramsey wapo fit

18 points kutoka mechi 18 si mbaya.
 
Hapana Mkuu nimegundua huko ninakozichukua huwa hawaweki picha nyingi za Gunners kama za baadhi ya timu kubwa tatu. Nadhani huyu anayezipost ana chuki binafsi na timu yetu.

Mpwa nakutegemea kwenye upambaji wa sherehe ya leo kwa mapicha mbalimbali naona unayabania.
 
theo-walcott-of-arsenal-celebrates-scoring-his-sides-second-goal-the-picture-id614816918
 
Jumatano ijayo tunacheza Emirates na Ludo Razjd kwenye CL na jumamosi itakayofuatia tupo nyumbani tena kuwakaribisha Middlesbrough.

Coquelin na Ramsey wapo fit

18 points kutoka mechi 18 si mbaya.
Rekebisha mstari wa mwisho.
 
Arsenal kidogo waniue kwa Pressure. Good points, poor defending. Kina nani walikuwa wanasema hii mechi itakuwa rahisi? Kwa mara ya 2 mfululizo tumetolewa kamasi lakini kwa kudra za kimpira tumeshinda.
No kidding, Niliacha kuangalia mechi baada ya Swansea kufunga la 2.
rubaman always unaacha kuangalia mpila
 
Jumatano ijayo tunacheza Emirates na Ludo Razjd kwenye CL na jumamosi itakayofuatia tupo nyumbani tena kuwakaribisha Middlesbrough.

Coquelin na Ramsey wapo fit

18 points kutoka mechi 18 si mbaya.
Coquelin sawa ila ramsey hapana
 
67066f339dc123045e0319ea6c38d340.jpg

fdf8e350aaf0fc3d4eb6bc523d4d7098.jpg

Birth Day Boi himself sheikh Özil kapiga mua mpira umeokotewa marikiti ya London wahuni wanauuza.
af30c01874f56f7f0b1871f963dfca32.jpg

Cech game ya 50 duh yule chizi Mo' kwa Peter ninakushukuru sana.
 
Liverpool kesho nitaenda ibadani na hakika nitawaweka kwenye maombi yangu,niwatakie j3 njema mapema na msiniangushe.
kwanini mnalazimisha pressure zisizo za lazima, liver tutawaua na set pieces tu

Hongereni kwa point tatu
 
Mpwa vipi kipyenga bado? naisubiri j3 nikiwa na chupa ya heineken baridiiiiii sina presha kabisa uku natia nia kwa majogoo heee heee.
HAHAAAA nilipoona tu ozillll nikaona bora niangalie la liga ni kachange chanel
 
kwanini mnalazimisha pressure zisizo za lazima, liver tutawaua na set pieces tu

Hongereni kwa point tatu

Mpwa umeandika uku moyo unakundunda naona maandishi hayatulii aiseee mkikalishwa itakua booooonge la j3
 
ila arsenal kukaa pale kileleni kwa sasa hivi ni matatizo, maana presha ya ku mantain position itakua kubwa, itatupelekea tusifanye vizur cha msing ni ku close gape tusiwe mbali na mtangulizi
Usijali mkuu, ndio kipindi chenu cha kunawili hiki wala usiwe na presha, we subiri tu ifike February
 
Mimi nina swali naomba kuuliza hapa ndani.

Hivi vile vitambaa ambavyo wachezaji siku hizi wanavaa (vyeusi) huwa vinaashiria nini, maana mimi nachojua anatakiwa avae nahodha je kwa hawa wengine wanapovaa huwa vina maana gan?

Msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom