Fekifeki
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,519
- 652
Xhaka Zulu kajisahau pale.Poor marking ya Xhaka Zulu.
Bado arsenal wananafas ya kutulia nabkuongeza goli na zaidiSwansea wamerudi kwenye morale hili goli kama limewa-boost.
Xhaka dah
Mbona mnaongea kinyonge, vipi kwani?Swansea wamerudi kwenye morale hili goli kama limewa-boost.
Mbona mnaongea kinyonge, vipi kwani?



Mpwa umeona una dalili ya kuongea umeamua kuja mapema![]()
nasubiri kipyenga cha mwisho tu nije hapa


Kuna aibu huku. Mtu kashachezea 3.Mpwa umeona una dalili ya kuongea umeamua kuja mapema![]()