Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Morning@Gurners...!!!!,naombeni kufahamu kwanini Wenger hamchezeshi Lucas perez kama first eleven..???, je ni kiwango chake kidogo ukilinganixha na ukubwa wa timu au fans tutegemee nn hasa kutoka kwa huyu streiker...????
Wenger ni mzembe sana juu ya kuwapa nafas wachezaji wapya.. Tumeona kwa wengi kasoro wachache wenye bahat zao, na hii hajui tu, inashusha morali ya mchezaji.. Ila lucas alipata majeruhi hapa kati hata game ya juzi hakuwepo benchi kabsa ila naskia game ya swansea atakuwa available.
 
Guiness World Record,Congrat's Cech for most EPL clean sheet and Golden Gloves with two clubs....Gooner.
3c144e0a35e9a810e507c9151b6c0965.jpg
 
Kesho Arsenal wana kibarua kizito vs Swansea City ndani ya Emirates. Swansea City ina rekodi nzuri vs Arsenal hivi karibuni.
 
Kesho Arsenal wana kibarua kizito vs Swansea City ndani ya Emirates. Swansea City ina rekodi nzuri vs Arsenal hivi karibuni.
Hamna kitu hapo. Watakaa tu. Swansea wana record nzuri kushinda ile CHELSEA?
 
Hamna kitu hapo. Watakaa tu. Swansea wana record nzuri kushinda ile CHELSEA?
Unadhani ni rahisi kihivyo sio? Kumbuka Burnley walitutoa kamasi mechi iliyopita, na ukumbuke Swansea wana wachezaji wazuri kuliko Burnley.
 
Unadhani ni rahisi kihivyo sio? Kumbuka Burnley walitutoa kamasi mechi iliyopita, na ukumbuke Swansea wana wachezaji wazuri kuliko Burnley.
Kwa hiyo Chelsea ilikuwa rahisi kiivo?
 
Kesho Arsenal wana kibarua kizito vs Swansea City ndani ya Emirates. Swansea City ina rekodi nzuri vs Arsenal hivi karibuni.

Last season walitupiga sigara kali. Kifupi toka hawa watu wapande epl wamekuwa wasumbufu sana kwetu
 
Sijawahi kua na amani nikicheza na Swanselona hawa jamaa kuna button yetu wanaijua tunapoificha mara nyingi wanaitumia kutusurubu hawaoni tabu kuchukua 6 Pts kwetu duh kesho ipo haja ya kuficha button ili tuangalie game zinazofuata kwa amani.
 
Huku unasema arsenal anachezea kichapo, afu kwenye mkeka unasema arsenal anashinda 2
Kunawatu wanapenda an kuombea dua LA kuku inapofikia mwewe kuchukua kifaranga chake hana budi kujitwalia ndio hii ya kuombea arsenal ichapwe .
 
Back
Top Bottom