leonardo da vinc
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 1,108
- 735
Swansea huwa wanatusumbua Sana hope tutashinda leo hii itategemea tutakavyoianza game
Arsenal ya sasa sio ile ya kusumbuluwa na SwanseaSwansea huwa wanatusumbua Sana hope tutashinda leo hii itategemea tutakavyoianza game
Burnley tu alisumbua sanaArsenal ya sasa sio ile ya kusumbuluwa na Swansea
Umesahau kuwa Burnley ndie alie mfunga livaBurnley tu alisumbua sana
Hicho unachokitilia shaka, Prof alishakipatia majibu kitambo tu!Ila mi game ambayo Cazola na Coqlin hawaanzi pamoja.,huwa nakuwa na wasiwasi mwingi...ila naamini tutashinda cz kwasasa tuna beki imara...
Sa 11:00 jioniWakuu game yetu saa ngap?



Ahsante.Arsenal 1- 0 Swansea


