sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
mara ya pili hii unaniuliza.........shukrani,we timu yako ip
mara ya pili hii unaniuliza.........shukrani,we timu yako ip
lazma utakuwa wanitesa unitedwache wafurahi maana kilio kinakuja soon.
mmmh kweli ,sikumbuki nisaidiemara ya pili hii unaniuliza.........
Ndio maana huwa nashangaa shabiki akisema Coquelin, Ramsey na wengine waendelee kuwa majeruhi ili Xhaka, Elneny etc wacheze. That's very wrong, wanatakiwa kuwa fit 100% ili wapiganie nafasi. Wakipigania nafasi ndio tutapata 100% commitment ya wachezaji wote.true majeruhi huwa yana tucost sana vile yahana garant,carzola akiumia nae jee,
pitia post za nyuma.mmmh kweli ,sikumbuki nisaidie
wanitesa ? sijawahi isikia hiyo timu....ipo dunia hii.?lazma utakuwa wanitesa united
si unikumbushe tuuupitia post za nyuma.
ila inazidi kuzolotawanitesa ? sijawahi isikia hiyo timu....ipo dunia hii.?
hata nikikukumbusha utauliza tena. kwahiyo ngoja tuache tu utakuja kujua siku nyingine.si unikumbushe tuuu
hata mmea uwa kama unazoleta lakini baadae unachipua.ila inazidi kuzolota
😡😡😡hata nikikukumbusha utauliza tena. kwahiyo ngoja tuache tu utakuja kujua siku nyingine.
ila waweza kufa kabsa piahata mmea uwa kama unazoleta lakini baadae unachipua.
nenda jukwaa la Man Utd ndiyo utajua mie ni timu gani.
hakunaga kufa........ila waweza kufa kabsa pia
nitawatembeleanenda jukwaa la Man Utd ndiyo utajua mie ni timu gani.
ofcozhakunaga kufa........
the GUNNERSArsenal
Perez kamkosea nini uyu mzee?
Ndio mashabiki tulivyo, ligi ndio imeanza tunataka kila mtu acheze. Juzi nikasoma wengine wamefurahi Me Coq kuumia ili Xhaka acheze, hatujui kuwa timu ikianza kuwa na majeruhi inaikosesha balance, matokeo yake utakuwa na wachezaji watano majeruhi na kupunguza competitionGet a life. Atapata nafasi,