Jana Sanchez kacheza false nine, huwezi kutumia mbinu hiyo hiyo kwa kila game. Lucas na Giroud ni muhimu sana hasa wakati mzee akitaka kubadilisha tactics.Ninachokiona kwa wenger
Anataka kumbadili sanchez jumla awe namba 9
Winga atabakia Iwobi, walcoth,alex chamberlai n,.
Sasa itakuwa ushindan kati ya perez,giroud na sanchez
KUNAKOELEKEA SANCHEZ ATAIZOEA NAMBA 9
Shaka ni BONGE LA MID YANI BONGEEE tunachokiona kwa quoclne ni kuofia kupoteza namba tuNimependa analysis yako kiongozi MO11. Lakini Xhaka bado anajifunza ligi ya uingereza, tumpe muda. Mustafi anatengeneza bond nzuri sana na Konsienly, naamini sasa tutakuwa na ukuta imara.
Ahsante sana kaka nice analysJana Sanchez kacheza false nine, huwezi kutumia mbinu hiyo hiyo kwa kila game. Lucas na Giroud ni muhimu sana hasa wakati mzee akitaka kubadilisha tactics.
Sio kweli ata focusNimefurahi sana jana,ila nahic mechi ijayo yatakuwa machozi ndo maisha yetu wanamitutu
Namba 1: Kweli tupu.MECHI YA JANA NILICHOGUNDUA
1) Kante hamuwezi ozil tangu akiwa leicester jana kaburuzwa
2) ili umpite mustafi unatakiwa upite juu
3) bora aanze coquelin kuliko xhaka
4) chelsea beki aliyebaki ni zouma tu
5) jana hazard angecheza mechi chelsea ingeshinda
6) xhaka a.k.a pweza ndio mchezaji anayependwa zaidi arsenal kila akigusa mpira hata akiwa golini kwake watu wanamwambia shooot
7) ozil hata angekua amejifunga kitambaa usoni angecheza vizuri maana zile pasi za kupiga kushoto na kuangalia kufika kilikua kitu cha kawaida sana
8) baada ya messi yale magoli anashinda sanchezi tu
9) yule the flash (google it) hamuwezi bellerin kwa kukimbia
10) Arsenal imefuta uteja
Kabisa kaka.Wenger hatakiwi kufukuzwa..
Soma orodha ya line-up ya Chelsea ya jana.MECHI YA JANA NILICHOGUNDUA ...4) chelsea beki aliyebaki ni zouma tu
5) jana hazard angecheza mechi chelsea ingeshinda
.....
10) Arsenal imefuta uteja
Msome Wenger hapo juu kwenye link. Bofya link hiyo......
Namba 5: Wale jana walikufa wote. Hata angecheza Zouma, sio kwa Iwobi yule! Sio kwa Ozili yule! Sio kwa Sanchez. Kifupi sio kwa Arsenal ya jana.
!
Yaani uroda.Hadi raha...
Karudi.alipotea njia kama profesa wa rwanda!We si nimesikia ulienda madrid wewe
Na usisahau GIBBS kuna namba anahamishiwa.Ninachokiona kwa wenger
Anataka kumbadili sanchez jumla awe namba 9
Winga atabakia Iwobi, walcoth,alex chamberlai n,.
Sasa itakuwa ushindan kati ya perez,giroud na sanchez
KUNAKOELEKEA SANCHEZ ATAIZOEA NAMBA 9
Kaka usimtamani huyo. Huyo jamaa sio mtu mzuri kabisa.Ni kweli ila naona sasa hivi lile tatizo LA kutokuwa na kiungo imara wa ulinzi linaondoka...namtamani sana Mdn city
HahahaKarudi.alipotea njia kama profesa wa rwanda!
Gbbs atakua chaguo namba mbiliNa usisahau GIBBS kuna namba anahamishiwa.
BodiFrankly speaking sijawahi kua na tatizo na AW ninamuani jana na kesho kwangu naamini Arsenal inamuhitaji AW kuliko yeye anavyohitaji Arsenal yapo mapungufu ambayo naamini yanasababishwa na wengi sio AW pekee ake.
Ni series flani ya mtu anakimbia anapita hadi upepoNamba 1: Kweli tupu.
Namba 2: Kweli tupu.
Namba 3: Kweli lakini Xhaka tumpe Muda. Ana vitu ambavyo Coquelin hana, mf long distance shoots.
Namba 4: Kweli tupu.
Namba 5: Wale jana walikufa wote. Hata angecheza Zouma, sio kwa Iwobi yule! Sio kwa Ozili yule! Sio kwa Sanchez. Kifupi sio kwa Arsenal ya jana.
Namba 6: Kabisa.
Namba 7: kweli tupu. Najuta kuchagua Shule. Yalikuwa mambo yangu yale.
Namba 8: Kweli tupu. Kanikumbusha Henry.
Namba 9: Umenipoteza. Nani huyu? Google inanipotosha.
Namba 10: sisi wa Pwani tunasema KILICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Hahaaaaa kwani iwe kwetu tuMmebahatisha leo.
Afu uzuri wa arsenal moto wenu unakuwa kabla hamjaenda xmass.....lakini mkishatoka kula pilau la xmass....basi shida inaanzia hapo ni kipigo kwa kwenda mbele......Hahaaaaa kwani iwe kwetu tu