McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Hahaaaa yani imebidi nianze kucheka mwenyewe. Dah kumbe nimechanganya jukwaa......
Nisameheni wote.......
Pole sana kwa msiba ila vumilia kila nyumba lazima itoe maiti ila naona marehemu umesusiwa umzike pekee ako yule Everlenk kaingia mapangoni jikaze wiki ijayo lazima ufiwe tena.

