lutta alphonce maguru
New Member
- Sep 3, 2016
- 1
- 0
Magoli yakufungwa yataleta shida mwishoni.


nasubiri muuza jezi ajaribu na yeye.Chelsea kiongozi...!nadhan n jumamosi...!Le go Gunners ... next match na nan wadau
Hamna balaa lolote tutamkalisha tu bila tatizo...Hiyo cku balaaa


Hizi taarifa peleka kwenye jukwaa lenu......si kila mtu ana jukwaa lake![]()
Alex Sanchez akishangilia goli alilofunga kati ya mawili.
Kwa mara ingine tena, Mesut Ozil ndiye aliekuwa akivuta kamba zote na kuwarahisishia kazi Alexis Sanchez na Alex Iwobi.
![]()
Mwamuzi Roger East akimwonyesha kadi nyekundu beki wa Hull City Jake Livermore baada ya kuunawa mpira ndani ya eno la 18.
![]()
Granit Xhaka nae akifurahia goli alilofunga na mshambuliaji Lucas Perez.
Kitu kingine nilichoona leo Wenger hakuanza na Perez kule mbele bali aliamua kuanza na Theo Walcott ambae alileta matatizo kwa ngome ya Hull hadi alipotolewa Livermore, ila kwa ujumla kikosi kilikuwa safi khasa katikati ambapo Coquelin, Cazorla na Xhaka walitawala.
Ndiyo mpira......ya Ureno yatatokea kwetu....tuchekeni sasa hivi ila baadae mtafumba midomo yenu kwa aibu.Manure kapigwa kibajaji saaaafiiiii mji umetulia![]()
Jukwaa lenu la Arsene8 haujaliona.Le go Gunners ... next match na nan wadau
Mbona Jazba au we mshabiki wa Watford nnJukwaa lenu la Arsene8 haujaliona.

Hizi taarifa peleka kwenye jukwaa lenu......si kila mtu ana jukwaa lake