Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
jamaa ulitizama mpira? dakika 6 nyongeza nyingi kati ya hizo zimetokana na mpira ulipo simama wakati mchezaji wa hull pale alipokuwa anatibiwa au hukuona?Mbona ManU akishinda kwenye dakika hizo mara nyingi mnatoa vilio?!