yaani mpaka dakika ya 98 ndio mnafunga timu iliyo mkiani na yenye wachezaji 10 kwa more than half of the game?!
ingekuwa tumefunga nje ya hizo dakika ndio noma,lakini hizo dakika si ndio refa kachezesha? na wao si walikuwa na nafasi au?yaani mpaka dakika ya 98 ndio mnafunga timu iliyo mkiani na yenye wachezaji 10 kwa more than half of the game?!
yaani mpaka dakika ya 98 ndio mnafunga timu iliyo mkiani na yenye wachezaji 10 kwa more than half of the game?!
Hahahahahahaha ushindi ni ushindi bwana kama Refa kaona kuna dkk 6 zilizopotea ni lazima aziongeze. Hebu kuwa mwanamichezo utoe pongezi hata siku moja....badala ya kusagia tu. Kumbuka asiyekubali kushindwa si mshindani.
Kukaa kimya sometomes ni busara mkuu...Kumbuka hii ni EPL siyo ligi kuu ya VodaCom,kama ndo hivo nadhani ninyi Chelsea mngetangaza ubingwa kitambo tu...
Najua ushindi huu unakuuma sana...hakuna jinsi...lol
We unasoma ile clock kwenye tv but ile ya refa ni tisini tu za mchezo. best tumezichua zetu tatu mwendo mdundo!yaani mpaka dakika ya 98 ndio mnafunga timu iliyo mkiani na yenye wachezaji 10 kwa more than half of the game?!
nimekupa pongezi kule.Mbona wewe hujatoa pongezi kwa Chelsea? Au pongezi wanapewa Arsenal tu! OK, hongera zenu wakuu..lol...hahahaha
Mbona ManU akishinda kwenye dakika hizo mara nyingi mnatoa vilio?!ingekuwa tumefunga nje ya hizo dakika ndio noma,lakini hizo dakika si ndio refa kachezesha? na wao si walikuwa na nafasi au?
ingekuwa tumefunga nje ya hizo dakika ndio noma,lakini hizo dakika si ndio refa kachezesha? na wao si walikuwa na nafasi au?
sio wewe, nilikuwa najibizana na BAK.nimekupa pongezi kule.
Hhahaha tuko fit, umeona game ya leo tuliyompa mtu 4-1? Na kama sio Zola tungewapa 8-0...lolAchaneni na jirani yetu Peasant...mwenzenu ana kimuhemuhe cha kuwa huenda akanyang'anywa tonge mdomoni...Ndo maana hataki kutuona tukishinda hata kidogo....Shhhhhhhhhhhh,tushangilie kimyakimya basi
Mbona ManU akishinda kwenye dakika hizo mara nyingi mnatoa vilio?!
Mbona wewe hujatoa pongezi kwa Chelsea? Au pongezi wanapewa Arsenal tu! OK, hongera zenu wakuu..lol...hahahaha
Kukaa kimya sometomes ni busara mkuu...Kumbuka hii ni EPL siyo ligi kuu ya VodaCom,kama ndo hivo nadhani ninyi Chelsea mngetangaza ubingwa kitambo tu...
Najua ushindi huu unakuuma sana...hakuna jinsi...lol