Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
goaaaaaaaaaaaaaaaaal arshaviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiin
sana sana boateng bora katolewa na mirafu yake.tukipata la pili hapa itakuwa powa.Haya tumepata upenyo wa kujikusanyia 3 points. Hawa Hull hutumia ubavu sana wanapocheza nasi, sasa wameshabaki 10 hivyo kipindi cha pili ni lazima tucheze attacking football ili kuhakikisha tunakusanya points zote.
It's a shame kama hatutashinda hii mechi, itabidi tusahau kuhusu ubingwa!!