Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tembea uone lililo na impact kwako ni hilo tutikutolea ya uvunguni mwa kitanda chako hutarudi tena hapa
hebu funguka mkuu wala usisite hata zidane alifunguka alipochukia

Zinedine Zidane hatimaye amezungumzia kwanini alimpiga Materazzi kichwa katika fainali ya kombe la dunia 2006. "Aliniita fala,nikampuuzia. Akamwita baba yangu gaidi,nikampuuzia. Sasa hasira zikanipanda pale aliposema ninafaa kuichezea ARSENAL.
 
hebu funguka mkuu wala usisite hata zidane alifunguka alipochukia

Zinedine Zidane hatimaye amezungumzia kwanini alimpiga Materazzi kichwa katika fainali ya kombe la dunia 2006. "Aliniita fala,nikampuuzia. Akamwita baba yangu gaidi,nikampuuzia. Sasa hasira zikanipanda pale aliposema ninafaa kuichezea ARSENAL.
Good for you.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tembea uone lililo na impact kwako ni hilo tutikutolea ya uvunguni mwa kitanda chako hutarudi tena hapa

Mpwa uyo jamaa atakusumbua tu hana jipya dawa mkaushie umu anakuja atafanya vurumai watu wanamshangaa tu akiishiwa bundle anapotea na tecno yake anaizima anasahau hili jukwaa sio la ucheshi please mkaushie.
 
09107NQ3 Chukua code izo ujiunge katika League yetu kwa michuano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE..
 
7fcc2471c678b0e3ae55a106aa0d6a7c.jpg

"The Boss" Arsenal's player of the month.
 
Kwani wanapofungisha ndoa za mashoga mwishoni huwa wanatamkaje ya kwamba kuanzia Leo nyinyi wawili mmekua arsenal united au kimombo si lazima watasema kuanzia Leo nyinyi mmekua Man united
Hahahahahaha
 
Kwani wanapofungisha ndoa za mashoga mwishoni huwa wanatamkaje ya kwamba kuanzia Leo nyinyi wawili mmekua arsenal united au kimombo si lazima watasema kuanzia Leo nyinyi mmekua Man united

Jibu sahihi kwa mjibiwa sahihi
 
Kwani wanapofungisha ndoa za mashoga mwishoni huwa wanatamkaje ya kwamba kuanzia Leo nyinyi wawili mmekua arsenal united au kimombo si lazima watasema kuanzia Leo nyinyi mmekua Man united
Kwa hyo mashabiki wa Arsenal wanapooana wanaitwa MAN UNITED kwa lugha fup ULIMAANISHA kuwa MAN UNITED ni mashabiki wa ARSENAL waliooana huu ugomv wa ngumi
 
Messi woke up and shouted
'' Holy Ghost Fire!!!!
'' Wife:: what's it ?? Was lion chasing you ??
'' Messi:: that would have been better.
''Wife: what is it then ?? ''Messi: I nearly joined Arsenal in my dream.
''Wife:: Blood of Jesus !! Honey let's pray.
 
Back
Top Bottom