Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimu huu Arsene Wenger ametumia fedha nyingi Zaidi kusajili wachezaji wawili mahiri.

379C222900000578-3760563-image-a-7_1472238035927.jpg


Lakini bado Mesut Ozil anabakia kuwa mchezaji aliesajiliwa kwa kitita kikubwa cha fedha cha pauni milioni 42.5

379C1D1F00000578-3760563-image-a-6_1472238024313.jpg


Wakuu wa Gunners mpoo?
 
Safi sana...Kauli hiyo ya AW akihojiwa na Media baada ya mechi ya leo ni uthibitisho kwamba tayari Mustafi na Perez ni new guns...

Hope ataongeza mwingine kabla ya dirisha kufungwa...

Together We Stand...


Hakuna usajili tena mkuu labda January mwakani.

Mzee mwenyewe ametamka hivyo kwamba "no signings before Wednesday".

Labda anasema hivyo kwa kuwa tayari amecover maeneo husika- Ulinzi, Kiungo na Ushambuliaji.

Ulinzi wa kati - Per Mertesacker, Gabby Paulista, Boss, Rob Holding na Mustafi

Viungo- Xhaka, Cazorla, Elneny, Ramsey, Chamberlain, Jack Wilshere, Alex -Oxlade Chamberlain, Ozil, Kelechi Nwakali, Francis Coquelin na Jeff-Reine Adelaide.

Ushambuliaji- Giroud, Alexis Sanchez, Walcott, Perez, Chuba Akpong, Alex Iwobi, Danny Welbeck, Serge Gnabry na Yaya Sanogo.

Hivyo utaona kabisa tunapiga kipira hadi January bila wasiwasi wowote.
 
Hakuna usajili tena mkuu labda January mwakani.

Mzee mwenyewe ametamka hivyo kwamba "no signings before Wednesday".

Labda anasema hivyo kwa kuwa tayari amecover maeneo husika- Ulinzi, Kiungo na Ushambuliaji.

Ulinzi wa kati - Per Mertesacker, Gabby Paulista, Boss, Rob Holding na Mustafi

Viungo- Xhaka, Cazorla, Elneny, Ramsey, Chamberlain, Jack Wilshere, Alex -Oxlade Chamberlain, Ozil, Kelechi Nwakali, Francis Coquelin na Jeff-Reine Adelaide.

Ushambuliaji- Giroud, Alexis Sanchez, Walcott, Perez, Chuba Akpong, Alex Iwobi, Danny Welbeck, Serge Gnabry na Yaya Sanogo.

Hivyo utaona kabisa tunapiga kipira hadi January bila wasiwasi wowote.
Kwa sasa tuna kikosi cha kutosha.
 

Mkuu Belo, pesa waliyotumia Arsenal yaani hiyo 100M ni ya kwao wenyewe.

Fikiria Chelsea, Man City na Man Utd wangekuwa wapi kama siyo Abramovich, Sheikh Mansoor na Glazer Family?

Kwa sasa Arsenal na Man Utd ndizo klabu zenye mapato makubwa na Man City mpaka leo hawajawahi kujaza watu uwanja wao wa watu 25000.

Wenger anatufundisha uchumi na waingereza hawapendi kuona hivyo na wanaishia kumsakama kwa maneno ya hapa na pale kwa vile yeye siyo mwingereza.

Leo anathibitisha kusajiliwa Perez na Mustafi tayari wanapiga kelele kusema hiyo ni panic buy!

Alipokaa kimya ametulia na kwaachia kazi wataalam wake wa scouting wafanye kazi, wakawa wanasema kwanini hasajili!

Huyu ndie Arsene Wenger the economist who turned into football management.

Kuna kozi hii siku hizi na inafukuziwa kweli kweli na vijana ambitous.
 
Mkuu Belo, pesa waliyotumia Arsenal yaani hiyo 100M ni ya kwao wenyewe.

Fikiria Chelsea, Man City na Man Utd wangekuwa wapi kama siyo Abramovich, Sheikh Mansoor na Glazer Family?

Kwa sasa Arsenal na Man Utd ndizo klabu zenye mapato makubwa na Man City mpaka leo hawajawahi kujaza watu uwanja wao wa watu 25000.

Wenger anatufundisha uchumi na waingereza hawapendi kuona hivyo na wanaishia kumsakama kwa maneno ya hapa na pale kwa vile yeye siyo mwingereza.

Leo anathibitisha kusajiliwa Perez na Mustafi tayari wanapiga kelele kusema hiyo ni panic buy!

Alipokaa kimya ametulia na kwaachia kazi wataalam wake wa scouting wafanye kazi, wakawa wanasema kwanini hasajili!

Huyu ndie Arsene Wenger the economist who turned into football management.

Kuna kozi hii siku hizi na inafukuziwa kweli kweli na vijana ambitous.
Pamoja na kufanya hiyo business on the pitch ni ngumu sana Wenger kupata mafanikio kwenye hii era sababu hayuko flexible kwenye mbinu hata wachezaji anaowasajili wanafanana kiuchezaji.Wenger ameshindwa kutafuta wachezaji wenye mentality za kina Vieira, Gallas, Campbell, Keown, Toure, Gilberto Silva
 
Pamoja na kufanya hiyo business on the pitch ni ngumu sana Wenger kupata mafanikio kwenye hii era sababu hayuko flexible kwenye mbinu hata wachezaji anaowasajili wanafanana kiuchezaji.Wenger ameshindwa kutafuta wachezaji wenye mentality za kina Vieira, Gallas, Campbell, Keown, Toure, Gilberto Silva
Cq4UBFDWYAAEzZ2.jpg:large


Mkuu, yaani unataka kuniambia Ozil anafanana kiuchezaji na nani pale Arsenal in terms of chances he creates, ni nani pale analingana nae?

Au Granit Xhaka anafanana kweli na uchezaji wa Francis Coquelin? na umeona leo kamweka bench Coquelin na wenzake.

Ozil ni creative midfielder aliegharimu 42.5 M na Xhaka ni box-to-box midfielder aliegharimu 35M.

Tutawapima hawa wawili na khasa Xhaka, Arsenal ikicheza na Chelsea, Man Utd, Man City, Tottenham na West Ham, tusubiri.
 
Mkuu, yaani unataka kuniambia Ozil anafanana kiuchezaji na nani pale Arsenal in terms of chances he creates, ni nani pale analingana nae?

Au Granit Xhaka anafanana kweli na uchezaji wa Francis Coquelin? na umeona leo kamweka bench Coquelin na wenzake.

Ozil ni creative midfielder aliegharimu 42.5 M na Xhaka ni box-to-box midfielder aliegharimu 35M.

Tutawapima hawa wawili na khasa Xhaka, Arsenal ikicheza na Chelsea, Man Utd, Man City, Tottenham na West Ham, tusubiri.
Sizungumzii creativity kuna kipindi Nasri /Fabregas walikuwa kwenye form kama aliyo nayo Ozil.

Umeona hao wachezaji wa zamani wa Arsenal niliolist hapo juu?
Arsenal ya siku hizi haina wachezaji aggressive kama hao na ndio tatizo kubwa la Arsenal
 
Usajili Updates: Takuma Asano awasili VfB Stuttgart Ujerumani ambako atacheza kwa mkopo.

Takuma Asano ambae aliwavutia timu ya VfB Stuttgart ya Ujerumani alipokuwa akishiriki kwenye michuano ya Olimpiki mjini Rio nchini Brazil na timu yake ya taifa ya Japan.

Takuma_Asano_464x261.jpg

Kila la kheri Takuma.

Takuma akiwa Stuttgart anatarajiwa kupata uzoefu wa kutosha kumwezesha kucheza ligi kuu ya Uingereza ambayo ina ushindani mkubwa na hivyo kupata nafasi ya kucheza Bundesliga ni jambo zuri sana.
 
Mkuu Belo, pesa waliyotumia Arsenal yaani hiyo 100M ni ya kwao wenyewe.

Fikiria Chelsea, Man City na Man Utd wangekuwa wapi kama siyo Abramovich, Sheikh Mansoor na Glazer Family?

Kwa sasa Arsenal na Man Utd ndizo klabu zenye mapato makubwa na Man City mpaka leo hawajawahi kujaza watu uwanja wao wa watu 25000.

Wenger anatufundisha uchumi na waingereza hawapendi kuona hivyo na wanaishia kumsakama kwa maneno ya hapa na pale kwa vile yeye siyo mwingereza.

Leo anathibitisha kusajiliwa Perez na Mustafi tayari wanapiga kelele kusema hiyo ni panic buy!

Alipokaa kimya ametulia na kwaachia kazi wataalam wake wa scouting wafanye kazi, wakawa wanasema kwanini hasajili!

Huyu ndie Arsene Wenger the economist who turned into football management.

Kuna kozi hii siku hizi na inafukuziwa kweli kweli na vijana ambitous.
Fact ,Etihad stadium Capacity: 55,000
 
Fact ,Etihad stadium Capacity: 55,000

Ok, but Man City remain behind Man Utd and Arsenal in terms of actual attendance and income generated from each match.

There is a difference between capacity and actual attendance.

Hata hivyo bado uwanja unaongezewa viti na utafikia capacity ya 61,000 kwa msimu wa 2017/2018 hivyo kuweza kuwa second largest after Man Utd's Old Traford.

Good luck!
 
Ok, but Man City remain behind Man Utd and Arsenal in terms of actual attendance and income generated from each match.

There is a difference between capacity and actual attendance.

Hata hivyo bado uwanja unaongezewa viti na utafikia capacity ya 61,000 kwa msimu wa 2017/2018 hivyo kuweza kuwa second largest after Man Utd's Old Traford.

Good luck!

Manchester City's defeat by Leicester on Saturday was watched by a record attendance at the Etihad Stadium.
It was announced that a near-capacity crowd of 54,693 turned up to see City lose 3-1 as Leicester moved six points clear at the top of the Barclays Premier League.

hii ilikuwa mwaka huu February , so japokuwa Man city haina mashabiki wengi kama Man United au Arsenal ila kuna mechi ambazo huwa inapata full attendance
 
38c54797b0438cc4b01940763f57d881.jpg

Ni tetesi kua JW10 anaweza kuondoka kwa mkopo,Ni kitu ambacho binafsi sipendi kitokee.
 
ila akibaki pia ni vigumu kupata namba kwani hivi sasa kuna viungo wengi sana, majeruhi hakika yameharibu soka ya huyu dogo

Dogo ni injury prone mpaka basi,tuna mashindano mengi sana mkuu kama angepata game fitness naamini angecheza tu kwangu mimi pale Arsenal JW10 anabaki kua wa pekee ana spirit ya gooner halisi.
 
Usajili Updates: Arsenal wathibitisha usajili wa Lucas Perez Martinez.

proxy.jpg


Arsenal mchana huu wamethibitisha usajili wa mshambuliaji Lucas Perez kutoka Deportivo La Coruna ya Spain.
 
Lucas Perez has been officially confirmed as an Arsenal player. imminent departure includes Wilshere, Debuchy and Sanogo, all of these will be loaned for a season to other clubs while Gnabry may be sold to Bayern Munich
 
Back
Top Bottom