Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo aliyefunga goli la 4 anaitwa MONEY. Arsenal mmeona eeh? Si mlishindwa kumnunua kwa sababu ya ubahili wenu? Mamaeh!
 
Mashabiki wa Arsenal msijisikie unyonge ndivyo mnavyoanza ligi siku zote.

Arsenal asiposajili hatoboi mechi zinazofuatia. Sasa hivi hata timu ndogo zinafungua pochi kununua wachezaji bora.
 
1471191990937.jpg

A
R
S
A
Y
N
O

T
H
E

M
A
N
D
A
Z
 
Poor quality in arsenal squad.
No game changers. Walio sub ni vimeo kuliko walio uwanjani.
 
Hili zee linaona kabisa wenzake wanaimalisha timu lenyewe lipolipo tu, hakuna kitakachobadilika, utakuwa msimu wa ovyo kuliko yote
Mtetea Wa ars anazidi kula kipigo kizito kwa majogoo ya London shukran za dhat kwake Philip coutinho
 
Jaman mie huwa inaniuma pale tunaporikalibia kombe lakin hatulifikii
 
Back
Top Bottom