Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I hate Nacho Monreal hafai kucheza beki mtu gani hajui kudefend yeye anafanya zonal marking tuuu
 
Klop anaelekea kuhitimisha, bado Mouh, Pep na Conte. Kazi tunayo msimu huu...
 
Acheni tutandikwe tu hata 10 maybe this will speed up the process of getting rid of Babu Wenger.

So far sijaona wachezaji wa kubadili matokeo Arsenal.
Poor quality squad. Timu nyingi zitawavimbia kichwa.
 
I hate Nacho Monreal hafai kucheza beki mtu gani hajui kudefend yeye anafanya zonal marking tuuu
Utampa lawama bure Monreal, kuanzia kiungo wameshindwa kuwazua Liverpool.
 
yani kwa mpira huu mnaocheza ingekuwa mnacheza na Man U mngepigwa 10 bila.

hahaaaaaaaa!
unakuja kujifurahisha kwenye thread ya Man U alaf huku unakufa na tai shingoni

Huyu mbuzi leo anaumbuka vibaya sana. Timu yake inapanua wenzake wanaweka.
 
Mkuu kama wanaona stadium iko empty kwa mashabiki kwenda kuona vipigo kama hiki watatia akili kichwani. Haiwezekani wakusanye mabilioni ya pesa kila mwaka halafu wanaishia kufanya usajili ambao hauleti ushindi. Mimi huwalaumu pia wapenzi na mashabiki ambao huijaza stadium huku wakiwa hawana furaha na usajili wa Wenger. Umesikia wakimwimbia Wenger Chants of "don't know what you're doing"

Board ya hawa wapu.mbavu haiwezi kumpiga chini huyu babu. Wanapata wanachotaka, kwao vikombe havina umuhimu.
 
Hivi ni internet plan ipi utaona live soccer streaming bila kukatakata

Nina megabyte 2 za one day kifurushi cha vodacom lakini inakatakata
 
Acheni tutandikwe tu hata 10 maybe this will speed up the process of getting rid of Babu Wenger.
Ndo maana niliamua kuhamia man u nijilie raha sitak shida hiz
 
kwa sasa sitaangalia mechi yoyote mpaka wenger aondoke..ni msimamo wangu sirudi nyuma...ni uwendawazimu kutegemea kupata ubingwa mbele ya mastraika kama giroud,walcot,welbeck,sanogo..kwa herini wadau tutaonana wenger akiondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…