McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Hongera sana chief kwa kua wewe haujarogwa naona umeamua kutusemeaWenger alishawaroga
Kwa nini wewe na timu yako msi-take advantage pia kwa kua Arsenal nae kaboronga pia naamini mngekua mabingwa msimu huu.Two wrong dont make it right,Mlipaswa ku-take advantage hichi kipindi ambacho timu nyingine zinaboronga (Chelsea,United,City,Liverpool ) .Naona baadhi ya mashabiki tayari mmeshazoea
Mimi niseme tu hongera jirani.....Thanx much lads,inatosha kabisa kwa msimu huu sio mbaya nimefurahi tumemaliza vizuri especially kua juu ya Spurs.
Acheni mboyoyo, kwani sababu ya man u, chelsea, liverpool zimebadili makocha kwa nia ya kuwa 7,8 au 9??? mapovu yanawatoka kwa arsenal 2, humuoni bingwa aliepita na nafac aliepo kwanini bingwa asie yy, kabla hujasema team ya mwenzio angalia na yako sio umbea 2, unataka unanimbie kwa kuangalia uwezo wa kikosi mlitegemea arsenal ndo atakuwa juu ya chelsea na man city? Haya nyie mlietegemea kina aguero, costa, martial, benteke, hazard, depay, mko wapi??? Haya maneno muwe mnamwambia wenger mwenyewe coz huu ujuzi wenu wa uchambuzi at ukiniambia mm humu jf hausadii
Sikushangai,naelewa why unaongea haya,Wenger ni master wa kucheza na akili za mashabiki wa Arsenal.
Mimi niseme tu hongera jirani.....
Next season tutafanya mambo....Pole sana jirani naona wamekupeleka Futuhi ni wakati wa kujipanga upya na jitahidi angalau unyanyue kwapa FA maana tofauti na hapo utavurugika zaidi.
Totally blind, anyway hongereni mmemaliza juu ya SpursMnasahau Lei City kapoteza game 3 msimu mzima ame-drop 6 pts kwa Arsenal na 3 kwa Liva frankly speaking jamaa walikua organized sana sielewi mnavyokurupuka eti Arsenal angetumia mwanya wa timu nyingine kuchukua ubingwa hampigi hesabu ya bingwa mwenyewe,ni cheap excuse kusema wengine walikua na msimu mbaya huku mkikomaa na Arsenal naamini mnapunguza stress tu ila wote tume-fail na Lei City wana haki ya kupongezwa kwa walichokifanya hasa kwa kuhakikisha hawapotezi kirahisi.
Sikushangai,naelewa why unaongea haya,Wenger ni master wa kucheza na akili za mashabiki wa Arsenal.
Hongera mmemaliza juu ya SpursHebu msitupumzikie hapa nyie mnapenda mafanikio ya arsenal tangu lini
Hongera mmemaliza juu ya Spurs
Hongera mmemaliza juu ya Spurs
Hongera mmemaliza juu ya Spurs
Totally blind, anyway hongereni mmemaliza juu ya Spurs
Sasa najua kwa undani.Thanx much lads,inatosha kabisa kwa msimu huu sio mbaya nimefurahi tumemaliza vizuri especially kua juu ya Spurs.
Sasa najua kwa undani.
Ili tuwe tena Mabinhwa
Ni kuomba Spurs awe wa pili. Vinginevyo ndoto za ubingwa tusahau.
Spurs ni Bottlers hapana tokea Duniani
Cc mcdonaldy rubaman kashengo