Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Half time...Vijana wetu wameonesha kandanda safi kabisa...Go Arsenal go......
 
Masanilo uko wapi Mkuu!? Gunners 2 Porto 0 tunakenua tu 🙂....nilikwambia Mkuu leo ni ushindi tu.

Huyu mujamaa c ndo aliaga hapa anaenda pub! Anaweza pata ugonjwa wamoyo huko.

Back to th game, Arshavin alitakiwa aweke la tatu bwana. Amekosa goli la wazi kweli!
 
Vijana wakitulia bado kuna goli mbili nyingine za uhakika. Jamani mmenionea Masanilo huko? Kapotea kabisa baada ya kutamba kwamba hujawa na furaha sana pindi pale GUNNERS tunapopata kipigo cha mbwa mwizi.
 
Jamani mimi mbona naona tunahitaji goli 2 nyingine ili tujihakikishie?!
 
2nd Half inaanza sasa,vijana wasibweteke na magoli haya mawili,waongeze sasa...Natamani kumuona Walcott akiingia na kucheza kama alivyocheza juzi na Burnley
 
sasa hapa tufanya kama tunaanza upya,yani tuwapige la tatu kwanza tusifanye ujinga wa kuwapa goli mapema.
 
huyu mchawi redknapp anafanya nini kwenye game yetu si angeangalia nyumbani kwake.jamaa mzushi sana huyu.lol
 
_47443850_nb2_afp766.jpg


After a nightmare performance against Burnley on Saturday, the big Danish striker finds himself on the scoresheet again when he taps home to put Arsenal 3-2 up on aggregate before the break
 

_47443887_nb3_getty766.jpg




After a nightmare performance against Burnley on Saturday, the big Danish striker finds himself on the scoresheet again when he taps home to put Arsenal 3-2 up on aggregate before the break
 
Rosicky can get into Chelsea first eleven..hata kama manatoa is the best player! Hahahahah by the way watani hapa wanaipiga pombe ile mbaya mmmhhh love soccer funs
 
More beers please! Nasri can as well get into Chelsea sub bench hata huyu Eboe!!!!!
 
Back
Top Bottom