Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Kandanda inayochezwa hapa so far ni tamu kwa kweli...Wenye wivu wajinyonge...lol
True, Porto wanapiga mpira mtamu sana.Kandanda inayochezwa hapa so far ni tamu kwa kweli...Wenye wivu wajinyonge...lol
True, Porto wanapiga mpira mtamu sana.
si nimewaambiwa kwamba ni wivu tu.True, Porto wanapiga mpira mtamu sana.
jamaa kafuta yale magoli yangu matatu ya nyongeza kabla half time kwhaio yamebaki 2 sasa.Aaaaargh,Arshavin anakosa goli la wazi jamani,dah
limebaki moja naona kipa kafuta kile kichwa cha diaby. moja kabla half time tutachukua tu.jamaa kafuta yale magoli yangu matatu ya nyongeza kabla half time kwhaio yamebaki 2 sasa.