Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo mmuangalie Chelsea anavyoaga nyumbani kwake, kisha next week na ninyi muage mashindano rasmi.
Pole sana kwa matatizo maana unaishi kuangalia kwa jirani unasahau kua umejenga mabondeni duh noma sana.
 
Line up yetu Vs Watford katika harakati za kwenda Wembley,goma linapigwa Emirates.
Mungu ibariki Arsenal
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1457873535.821822.jpg
    29.6 KB · Views: 36
HT
Arsenal 0-0 Watford
So far Arsenal tumecheza kawaida sana tumepata clear chances kadhaa ila hazijaleta matokeo chanya,tusubiri second half.
 
Barcelona tukimchukua OZIL litakuwa bonge la usajili. Coz midfielder itakuwa vizuri sana kuisaidia Iniesta. Itakuwa bonge ya replacement ya Xavier
 
Masikini Arsenal.... Kweli nimeamini kwamba kuipenda Arsenal Wenger akiwa kocha unahitaji kuwa na roho ngumu... Huyu mzee atatuua huyu!!! Halafu anajaribu bunduki wakati wa vita, eti ndo Walcot na Welbek ndo wanaingia sasa hivi..... Tushapigwa za kufa mtu
 
Barcelona tukimchukua OZIL litakuwa bonge la usajili. Coz midfielder itakuwa vizuri sana kuisaidia Iniesta. Itakuwa bonge ya replacement ya Xavier
Mkuu hatumtaki huyu atatusaidia nn sasa? Atamweka bench nani pale?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…