Masikini Arsenal.... Kweli nimeamini kwamba kuipenda Arsenal Wenger akiwa kocha unahitaji kuwa na roho ngumu... Huyu mzee atatuua huyu!!! Halafu anajaribu bunduki wakati wa vita, eti ndo Walcot na Welbek ndo wanaingia sasa hivi..... Tushapigwa za kufa mtu