Siyo kikombe tu, wasipokuwa makini usishangae wakakosa top 4. Sababu kiporo cha city akishinda anamshusha nafasi ya nne. Hapo kuna hammer na united wanakuja kwa kasi ya ajabu....
Siyo kikombe tu, wasipokuwa makini usishangae wakakosa top 4. Sababu kiporo cha city akishinda anamshusha nafasi ya nne. Hapo kuna hammer na united wanakuja kwa kasi ya ajabu....
Tuko ugenini kwenye uwanja wa Kingston Communications hii second leg baada ya sare ya game ya kwanza tunasaka nafasi ya kusonga mbele kwenye FA Cup.
Referee ni Kevin Friend na game ni saa 4:00 usiku kwa saa za kwetu Ozil na Sanchez wameanzia benchi
Mungu Ibariki timu yetu ya Arsenal
COYG......!!
Dakika ya 88 Walcot anapasia kamba ya 4.
FT
Wao 0-4 Arsenal
Tumeshinda ila game imesababisha majeruhi wa kutosha kuanzia Per,Paulista na Ramsey sijui itakuaje next game kwenye FA ni Watford.
Haaa haaa Asante sana mkuu kidogo The Tigers wale kiganja leo,ila tuna msala mpya wa majeruhi watatu game ya leo tu na tumebakiza siku 7 tuelekee machinjioni duh Mungu nusuru.
Haaa haaa Asante sana mkuu kidogo The Tigers wale kiganja leo,ila tuna msala mpya wa majeruhi watatu game ya leo tu na tumebakiza siku 7 tuelekee machinjioni duh Mungu nusuru.