Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

daah! Poleeeni sana arsenal alikuwa mtu mzuri zaman ila basi tena ...ddddddddddd
 
The race is over .....Arsenal coach and players look like they do not want this Crown

Arsene wenger this will hunt him surely, and he has no where to hide now, no excuse in this type of perfomances
Nilisema hiki ndio kipindi chenu cha kupoteana, naona sasa unanielewa. Next Spurs mnamalizana wenyewe Leicester anasogea taratiiiibu...
 
khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeee

r9.jpg
 
Ghafla nafasi ya nne iko mashakani, Mancity wakishinda mchezo wao wa mkononi watakuwa na point 50, Arsenal tuna 51, Manu 47, wiki ijayo sioni Arsenal akipata hata point moja pale White Hart Lane na naona Manu wakishinda. Hivyo jumatatu Arsenal atakuwa na 51, Mancity 50, Manutd 50. Na Mancity wakishinda game yao, watakuwa juu ya Arsenal. Kwa form ya sasa ya Arsenal Upton Park na Goodison Park are scary turfs, wako ktk form!
Naomba maombi yangu yatimie iwe hivi, yawezekana labda Wenger kaambiwa minimum requirement ya kuepuka kuwa fired ni qualifying for UCL.
 
Mgonjwa kanywa uji imekuwa sherehe?
Hapana inaonekana Chelsea anaweza kufanya miujiza na kuingia top 4 au top 6 kwa jinsi "anavyokunywa uji". Mimi si shabiki wa Yokohama lakini inaonekana wazi kuna mabadiliko daraja bovu.
 
The race is over .....Arsenal coach and players look like they do not want this Crown

Arsene wenger this will hunt him surely, and he has no where to hide now, no excuse in this type of perfomances
Bussiness as usual.....it's arsenal's normality.....

Stays on the peak at 10-25 games and struggle to be the fourth on 28-38
 
Wenger huwa ana-bet game, ndio maana huwa haumii team inapovurunda nyakati muhimu kama hz...kachana mikeka mingi sana bwege yule..
 
Yamekuwa hayo?! ila mna short memory akishinda game mbili tatu zijazo mnasahau mnaanza tena kumtukuza!

Sio kwangu, labda mashabiki in plasic, iko obvious Arsenal kuchukua epl under Wenger zama zilishapita!
NATHUBUTU KUSEMA, MIMI NI ARSENAL ILA KAMA TUTAQUALIFY ECL, mdau yeyote anichagulie adhabu! Nitaifanya kwa nidhamu ya hali ya juu.
 
Hiki kizee kikiendelea na timu msimu ujao,,itabidi wenye imani ya kwenda kwa mganga wamuulizie huyo mganga wake.Maana katuroga mpaka tulio mbali.
Hodi hodi. Nimekuja na panadol na Hedex kwa mwenye kuzihitaji.
Prof. Wenger amesema "fans" wa Arsenal wadumishe amani na utulivu kama watanzania. Na wawe na imani na kukiunga mkono na kukipenda kwa moyo wote kikosi cha Arsenal.

msikate tamaa bana, tofauti ni points 6 tu, Totteham ameangukia pua leo, pia Man City. Ligi inazidi "utamu" Leicester atapoteza michezo miwili na sare 2 tu kati ya iliyobakia. Sasa hapo pigeni mahesabu yenu.
 
jitahidini UEFA mnaweza labda mkatoboa.
Kwa relegation fight form yetu ya sasa, SIO RAHISI. Umeona mechi zetu zilizobaki? Tunatakiwa kuwafata watu wanaotaka point kwa ajili ya kuingia UCL na Europa. Hizi time tunazifuata, Spurs, West Ham, Everton, Mancity na pia kuna wanaopigana kufa na kupona wasishuke daraja, ingawa nasi tulitakiwa kupigania kitu, ila hatuna spirit na urgence, hivyo naona wengine wenye nia wakipata watakacho toka kwetu!
 
Hodi hodi. Nimekuja na panadol na Hedex kwa mwenye kuzihitaji.
Prof. Wenger amesema "fans" wa Arsenal wadumishe amani na utulivu kama watanzania. Na wawe na imani na kukiunga mkono na kukipenda kwa moyo wote kikosi cha Arsenal.

msikate tamaa bana, tofauti ni points 6 tu, Totteham ameangukia pua leo, pia Man City. Ligi inazidi "utamu" Leicester atapoteza michezo miwili na sare 2 tu kati ya iliyobakia. Sasa hapo pigeni mahesabu yenu.
Ubingwa haupo, sasa hivi ni kuwa na wasi wasi on kikombe cha Wenger.
 
Alafu kuna vitu vingine babu anachekesha sana, amekariri kwamba fulani LAZIMA apigwe sub, how the fvck did he sub Campbell wakati ndo alikuwa best player wa Arsenal mpaka muda huo?? Huyu babu aki ya Jehovah ni JIPU.
Hizo point 51 kuna kama point 8 hivi za Cech pekee, sasa yeye na The Boss Kolsieny hawatakuwapo ktk derby, sijui hata itakuwaje!!
Honestly, i pray for the worst, toka nianze kushabikia mpira Arsenal haijawahi kuwa nje ya top 4, labda ni sababu mojawapo ya stuborn Wenger kuendelea kuwapo, ngoja tuone uvumilivu wa board of directors endapo atashindwa kuwa top 4.
 
Back
Top Bottom