Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,893
- 1,623
Dawa ya hao baca ni chelsea peke yake hakuna mwingine
Naweka hii post kwa matumizi ya baadae.......Nakuja OT nakuchapa Viboko vya kutosha
jana sie Die hard fans tulikuwa tunatemesha jukwaa tu...game tulijua ni ngumu sana kwetu hakuna cha kuogopa ogopa wala short memory
game imeisha UCL imeisha
Next Game OT tuonane Jumapili saa 10 hapa jukwaani manure ya sasa ni timu flani ya kujipigia tu....yaani ni kujipigia tuuuuuu
Labda muwekeze hapo lakini EPL ni 4th place sasa sijui ndio kuwekeza kwenyeweTuwekeze kwenye EPL na FA cups..
LVG nilitaka afungwe na vile vijamaa vya SHREWSBURY ili afukuzwe ila kwenu nyinyi nataka tuwafunge maanake mnachonga sana!
We mpaka tukusambaratishe jumapili ndo utapotea hili Jukwaa hakuna namnaLabda muwekeze hapo lakini EPL ni 4th place sasa sijui ndio kuwekeza kwenyewe
Mshapoteana nyinyi....mwisho wenu huwa ni huu, mnafungwa na Barca mnatolewa mnachanganyikiwa! We have nothing to lose,pressure is on you! Njooni OT mchukue ushindi. Na mna FA CUP replay vs Hull City,replay vs Barcelona,Fa Cup quarters all within a month or less!We mpaka tukusambaratishe jumapili ndo utapotea hili Jukwaa hakuna namna
Na mlivyo na injury list kama Mmekutana na Earth quake
game ifike hii jamani
Nimeipenda hiyo you have nothing to looseMshapoteana nyinyi....mwisho wenu huwa ni huu, mnafungwa na Barca mnatolewa mnachanganyikiwa! We have nothing to lose,pressure is on you! Njooni OT mchukue ushindi. Na mna FA CUP replay vs Hull City,replay vs Barcelona,Fa Cup quarters all within a month or less!
Mtaingia kwenye hiyo historia soon.Chelsea tutoe kwenye huo ujinga wa kufungwa na messi,!
Sikubaliani na wewe kua kupigwa na Barca kutaifanya Arsenal wapoteane ki-uhalisia jana dunia ilijua kua Arsenal tulikua underdogs ni kweli maumivu ya kufungwa yapo lakini sio kama yale ya Monaco bado naamini Arsenal watakua focused kwenye ligi naomba na hii coment itunze pia kwa matumizi ya baadae hasa baada ya game yetu pale OT hakika utakubali mziki ambao utapigwa siku hiyo.Mshapoteana nyinyi....mwisho wenu huwa ni huu, mnafungwa na Barca mnatolewa mnachanganyikiwa! We have nothing to lose,pressure is on you! Njooni OT mchukue ushindi. Na mna FA CUP replay vs Hull City,replay vs Barcelona,Fa Cup quarters all within a month or less!
Mashabiki wa Arsenal mko flexible sana kubadilika Prof Wenger anaweza sana kucheza na akili zenuSikubaliani na wewe kua kupigwa na Barca kutaifanya Arsenal wapoteane ki-uhalisia jana dunia ilijua kua Arsenal tulikua underdogs ni kweli maumivu ya kufungwa yapo lakini sio kama yale ya Monaco bado naamini Arsenal watakua focused kwenye ligi naomba na hii coment itunze pia kwa matumizi ya baadae hasa baada ya game yetu pale OT hakika utakubali mziki ambao utapigwa siku hiyo.
unajitahidi kujitutumuaWe lost it...we are focusing now to LVG sacking mission on sunday
Ni next game....baada ya game kuisha focus ni inayofuataunajitahidi kujitutumua