McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Duh Ulaya wanapambana na wamihaji haramu kwa nguvu zote ila nahisi umu leo idadi ya wamihaji haramu inatishia maisha.
Asante Barca umesahaulisha matatizo ya wengi hata wale waliokata ring leo wako road wanasumbua,let's go Gooners and Gunners tuwaonyeshe kila ambacho hawakifikirii
Asante Barca umesahaulisha matatizo ya wengi hata wale waliokata ring leo wako road wanasumbua,let's go Gooners and Gunners tuwaonyeshe kila ambacho hawakifikirii