Vijana wapo na leo walifanya mazoezi mepesi tayari kabisa kukabiliana na Barcelona.
Olivier Giroud na wachezaji wenzie wakijiandaa.
Danny Welbeck
Alex Oxlade-Chamberlain na wachezaji wenzie.
Per Mertesacker, Aaron Ramsey, Theo Walcott na Calum Chambers wakiwa kwenye mazoezi leo asubuhi.
Olivier Giroud akirukaruka mazoezini.
Kieran Gibbs, Welbeck, Mohamed Elneny, Oxlade-Chamberlain na Alexis Sanchez wakijipnyoosha mazoezini.
Arsenal manager Wenger mwenyewe akichezea mipira kwenye mazoezi hayo ya leo asubuhi.
Arsenal star Mesut Ozil akiwa amejifunika na kitambaa kuzuia baridi ilokuwa ikipuliza leo asubuhi pale London Colney.
Mikel Arteta and Gabriel wakitazama mazoezi yakiendelea kwani wao wanauguza majeraha.
Sanchez na Bellerin.
Makipa wetu Petr Cech na David Ospina wakiwasili uwanjani kwa mazoezi.
Arsenal star Theo Walcott nae alikuwepo.
Arsenal's Alex Iwobi nae ndani.
Mastermind Wenger.
Petr Cech anatarajia kukabiliana vilivyo na Lionel Messi.
Picha hizi zimekujia kwa hisani ya wapiga picha wa vyombo vya habari vya PA, BPI, Reuters na mzee wetu Kevin Quigley.
Hawa walikuwa ni sehemu kubwa ya wanahabari ambao walipiga kambi kwenye uwanja wa mazoezi wa Arsenal wa London Colney leo asubuhi.