Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu ni kama hivi zinavyoonekana.

Arsenal

arrss_3574553b.jpg


Arsenal inaongozwa na playmaker wao Mesut Ozil.

Leicaster
leeiic_3574556b.jpg


Timu ya Leicester inaongozwa na kijana anaitwa Kante mwenye jezi nambari 14.

Huyo ndio playmaker wao.
 
Dakika inakwenda ya 10 Arsenal 0 Leicaster 0

Kuna goli linanukia hapa.
 
Arsenal wanapoteza mipira katikati na kama si uhodari wa kumiliki mpira Leicester wangekuwa wamefunga kwa counter attack.
 
Kona kwa Arsenal Mertesacker yupo pale, lakini inadakwa na kipa Schmeichel
 
Jamie Vaaaaaaardy no Petr cech anadaka na kuokoa Arsenal

Bado 0-0

Dakika imekwenda ya 15
 
Dakika 20 zimekwenda na magolini 0-0

Arsenal kuwa fair wamemiliki mpira kwa kiasi kikubwa na walitakiwa angalau wawe mbele kwa goli 1.
kasper_3574565b.jpg


Na kama si uhodari wa kipa Schimechel kumzuia Aaron Ramsey Arsenal ingekuwa na goli 1 mbele.



Leicester wanacheza counter attack football.
 
Girouuuuuuuuud kitu, no Arsenal wanafunga lakini Olivier Giroud ameotea.

Goli zinabakia kuwa 0-0
 
Kadi ya njano kwa Coquelin kwa kumkwatua Mahrez

Claudio Ranieri naona anatabasamu kwa kuona Coquelin ana kadi.
 
Leicester wanapata kona ya kwanza ya mchezo lakini inapotea.

Dakika inakwenda ni ya 40

Arsenal 0 Leicaster 0
 
Kwa mara ya kwanza sijisikii vibaya arsenal kufungwa ktk muda na mechi muhimu.
Leicester wakishinda wanastahili kikombe! Bravo, kuwa mkweli, napenda washinde!
 
Refa anatumaliza...Dah

Siku hizi wanasema hii ni morden foul kwamba eti mshambuliaji anaweza kumwendea mlinzi kwa minajili ya kutaka kukwatuliwa na kama mlinzi hatamkwepa huyo mshambuliaji na akamgusa basi hiyo ni adhabu ya penalty.
 
Back
Top Bottom