Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

12494683_1984384761786042_8535036592478336287_n.jpg
@..@# ngapi ww
 
It's match day tunakutana na Southampton bado tuna kumbukumbu mbaya na hawa jamaa last game tulipoteza 4-0 na katika game 5 tuliocheza nao recently tumeshinda game 1 tu ambayo Sanchez alitupa matokeo chanya.
Referee wa leo ni Lee Stephen Mason na mtanange utapigwa ghetto kwetu pale Emirates naamini leo ni siku ya ku-revenge ili turudi kwenye track ya kuikimbilia ndoo.
God bless Arsenal COYG.
 
It's match day tunakutana na Southampton bado tuna kumbukumbu mbaya na hawa jamaa last game tulipoteza 4-0 na katika game 5 tuliocheza nao recently tumeshinda game 1 tu ambayo Sanchez alitupa matokeo chanya.
Referee wa leo ni Lee Stephen Mason na mtanange utapigwa ghetto kwetu pale Emirates naamini leo ni siku ya ku-revenge ili turudi kwenye track ya kuikimbilia ndoo.
God bless Arsenal COYG.

Leo hamna namna nyingine lazima tushinde tu
 
Hii mechi inatuhusu sana hatuwezi kuziacha mbio za ubingwa kizembezembe nilazima tuwale hawa Soton.
 
Hii mechi inatuhusu sana hatuwezi kuziacha mbio za ubingwa kizembezembe nilazima tuwale hawa Soton.
Babu always disappoints when we need good results. Nazikumbuka sana point 2 tulizopoteza kwa Liva, tatu za kizembe kwa kuzabwa na Soton na Tatu za kizembe tunwazawadia wafa maji Chelsicky.

Am scared we can repeat the same mistake and drop some f***ckn point tonight. Babu is speedly loosing all of his good magic he used to have on those great hay day.
 
Babu always disappoints when we need good results. Nazikumbuka sana point 2 tulizopoteza kwa Liva, tatu za kizembe kwa kuzabwa na Soton na Tatu za kizembe tunwazawadia wafa maji Chelsicky.

Am scared we can repeat the same mistake and drop some f***ckn point tonight. Babu is speedly loosing all of his good magic he used to have on those great hay day.
Yani inabidi tufanye kitu leo ,nikufa au kupona.
 
Wenger ondosha flamin muweke Coquelin nafasi yake
Babu hapo tu ndipo anaponikera.
Tupa Flamini Nnje tupa Ramsey winga ya Kulia na Kati weka Elneny na Coq tuwamiliki maungoni hawa jamaa. Tukiwakosa mitaa ya kati watatuadhibu kama last game.
 
Babu hapo tu ndipo anaponikera.
Tupa Flamini Nnje tupa Ramsey winga ya Kulia na Kati weka Elneny na Coq tuwamiliki maungoni hawa jamaa. Tukiwakosa mitaa ya kati watatuadhibu kama last game.
kiufupi kuna wakati wenger nakua simuelewi, sijui hajifunzi na makosa, hivi karibuni tulifungwa 4 na flamin alipotea, leo amemuanzisha tena yule yule flamin. Tumetawaliwa sana kati
 
kiufupi kuna wakati wenger nakua simuelewi, sijui hajifunzi na makosa, hivi karibuni tulifungwa 4 na flamin alipotea, leo amemuanzisha tena yule yule flamin. Tumetawaliwa sana kati
Billionea Flamin.
Wenger amekula gawio lake
 
The Mandaz
Komaeni bhana
Naona Prof Mr.Bean hasomeki
Khekhekheee
 
The Mandaz mmefulia
Kaeni kimya ivo ivo
Prof Mr Bean oyee
Khekheeeeee
 
Back
Top Bottom