Two FA cups in more than ten years? And you want to be compared with your rivals?Define a trophy man.....
are Two FA cups ina two years not TROPHIES?
Haters kindly find other way to troll arsenal you are embarassing yourselves
Hapo nimekuelewa, kwahyo kumbe kombe moja wapo la Mr bean na fans wake ni wachezaji kuwa fit?Players wakiwa fiti ndo makombe yenyewe hayo

Two FA cups in more than ten years? And you want to be compared with your rivals?
ChelseaWho is our rival?
Sakapambo namaanisha kilichokuwa kikiwa cost Arsenal miaka yote ya karibuni ni majeruhi, kwa hio mwaka huu ni dalili nzuri sababu injury wote wanarudi kipindi kizuri.Hapo nimekuelewa, kwahyo kumbe kombe moja wapo la Mr bean na fans wake ni wachezaji kuwa fit?
Ok, I got u boy![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hizi habari za majeruhi wakasimuliane huko vijiweni kwao, kwani kuna timu ambayo haipati majeruhi? And in terms of injuries that last longer ( more than ten days united ndio inaongoza)Sakapambo namaanisha kilichokuwa kikiwa cost Arsenal miaka yote ya karibuni ni majeruhi, kwa hio mwaka huu ni dalili nzuri sababu injury wote wanarudi kipindi kizuri.
Chelsea
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

![]()
Habari zilizotinga muda si mrefu Prof anataka kufunga biashara ya paundi millioni 52
kwa hawa wachezaji wawili machachari, Lars Bender na Granit Xhaka kutoka
Bayer Leverkusen na Borussia Monchengladbach respectively.
"If I find the right quality I will do something. I love a bargain, who doesn’t love a bargain?"
Arsene Wenger, manager
Karibuni kwenye ulimwengu wa utajiri.......khe khe kheeeeeeeeeeee''Arsenal have overtaken Chelsea to become London’s wealthiest club, according to the 19th annual Deloitte Football Money League. The Gunners have moved ahead of the Blues for the first time since 2010, thanks largely to their match-day earnings. According to Deloitte, Arsenal generated £101.84million from their games at the Emirates Stadium last season – a total unmatched across Europe. Spanish giants Real Madrid generated £100.12m from their games at the Bernabeu, while Barcelona made £90.17m from their home matches.''
Prudent Arsene Wenger ... ...... ... Wataisoma number tu.
Hahahaah are you serious?? Chelsea...!!!Chelsea
hio imekaa poa sana hiyoArsene Wenger close to agreeing two-year contract extension at ArsenalWenger’s current deal is set to expire in the summer of 2017, with the Frenchman so far refusing to reveal his plans for the future.''
![]()
''Arsene Wenger is set to accept a two-year contract extension at Arsenal, according to reports.