Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

zp_601104805SM032_Arsenal_Trai_6180.jpg


zp_601104805SM003_Arsenal_Trai_6749.jpg


COYG
 
Define a trophy man.....

are Two FA cups ina two years not TROPHIES?

Haters kindly find other way to troll arsenal you are embarassing yourselves
Two FA cups in more than ten years? And you want to be compared with your rivals?
 
Hapo nimekuelewa, kwahyo kumbe kombe moja wapo la Mr bean na fans wake ni wachezaji kuwa fit?
Ok, I got u boy
Sakapambo namaanisha kilichokuwa kikiwa cost Arsenal miaka yote ya karibuni ni majeruhi, kwa hio mwaka huu ni dalili nzuri sababu injury wote wanarudi kipindi kizuri.
 
Sakapambo namaanisha kilichokuwa kikiwa cost Arsenal miaka yote ya karibuni ni majeruhi, kwa hio mwaka huu ni dalili nzuri sababu injury wote wanarudi kipindi kizuri.
Hizi habari za majeruhi wakasimuliane huko vijiweni kwao, kwani kuna timu ambayo haipati majeruhi? And in terms of injuries that last longer ( more than ten days united ndio inaongoza)

Wanasema deni la uwanja, kuna timu ambayo haina madeni? Atl.Madrid imechukua LA liga hata kufika fainali uefa huku wachezaji wao wengi nyota wakiondoka wakiwa katika peak ( tores, Sergio kun, falcao, Costa, Arda lakini bado wanasumbua vigogo kule) suala la majeruhi na deni kuwa kigezo utalikuta kwa Mr bean na fans wake tu,
 
mg_transers_gunners_comp.png


Habari zilizotinga muda si mrefu Prof anataka kufunga biashara ya paundi millioni 52
kwa hawa wachezaji wawili machachari, Lars Bender na Granit Xhaka kutoka
Bayer Leverkusen na Borussia Monchengladbach respectively.



"If I find the right quality I will do something. I love a bargain, who doesn’t love a bargain?"
Arsene Wenger, manager
 
Kwann A. Madrid iliamua kuwauza hao wachezaji wao na kwann wasikae nao kwa muda mrefu? Deni ni mzigo.
 
mg_transers_gunners_comp.png


Habari zilizotinga muda si mrefu Prof anataka kufunga biashara ya paundi millioni 52
kwa hawa wachezaji wawili machachari, Lars Bender na Granit Xhaka kutoka
Bayer Leverkusen na Borussia Monchengladbach respectively.



"If I find the right quality I will do something. I love a bargain, who doesn’t love a bargain?"
Arsene Wenger, manager

£52M kwa hao wachezaji 2 sio bargain....
 
''Arsenal have overtaken Chelsea to become London’s wealthiest club, according to the 19th annual Deloitte Football Money League. The Gunners have moved ahead of the Blues for the first time since 2010, thanks largely to their match-day earnings. According to Deloitte, Arsenal generated £101.84million from their games at the Emirates Stadium last season – a total unmatched across Europe. Spanish giants Real Madrid generated £100.12m from their games at the Bernabeu, while Barcelona made £90.17m from their home matches.''
Prudent Arsene Wenger ... ...... ... Wataisoma number tu.
Karibuni kwenye ulimwengu wa utajiri.......khe khe kheeeeeeeeeeee
 
Arsene Wenger close to agreeing two-year contract extension at Arsenal

505385702.jpg


''Arsene Wenger is set to accept a two-year contract extension
at Arsenal, according to reports. Wenger’s current deal is set to expire in the summer of 2017, with the Frenchman so far refusing to reveal his plans for the future.''

Wacha afaidi matunda aliyoyaleta Gunners, you can't buy class. Maana wapinzani wanatumbua mimacho, tu kisa wivu!
 
Arsene Wenger close to agreeing two-year contract extension at Arsenal

505385702.jpg



''Arsene Wenger is set to accept a two-year contract extension at Arsenal, according to reports.
Wenger’s current deal is set to expire in the summer of 2017, with the Frenchman so far refusing to reveal his plans for the future.''
hio imekaa poa sana hiyo
 
Wengine tunatamani hiki kizee kiondoke lakini unashangaa kuna watu wanamuweka tu.!! Kuongeza mda wake ni dharau kwa wapenda mabadiliko na wapenda vikombe.
 
aise kesho lazima arsenal ipigwe na ipigwe tu ndo furaha yetu
 
Back
Top Bottom