Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ubingwa kwa gunners si kwa sababu mna kikosi bora na mnacheza vizuri, hapana. Hii itategemea man city na spurs ambao ndio washindani wenu wakubwa watafanyaje kwenye game zao. Naiona leichester city ikiishiwa pumzi na spurs wakiongeza kasi. Amini spurs watawatia pressure ile mbaya. Ukiiangalia spurs ndio timu ambayo ipo organized zaidi pale epl. Hawana majeruhi, wana game spirit, pia wana kikosi kikubwa kuweza kukaboliana na majeruhi kama watatokea.
ukiona spurs wanaingia kwny kinyang'anyiro basi jua gunners wanakuwa mabingwa, kiukweli natamani niwaone spurs nafasi ya pili pale ili tumalize juu yao kama ilivyo ada
 
pia ifahamike kuwa gunners wamecheza na kikosi ordinary sana mechi takriban ya 8 hii na bado wako top of the table.....hii ni dalili nzuri sana msimu huu
 
02_16190037_0200df_2644152a.jpg


Next week the head boys will deliver.
Every day will be next week......khe khe khe eeeeeeeeeeeeeeeeeee..... #COYG
 
Ubingwa kwa gunners si kwa sababu mna kikosi bora na mnacheza vizuri, hapana. Hii itategemea man city na spurs ambao ndio washindani wenu wakubwa watafanyaje kwenye game zao. Naiona leichester city ikiishiwa pumzi na spurs wakiongeza kasi. Amini spurs watawatia pressure ile mbaya. Ukiiangalia spurs ndio timu ambayo ipo organized zaidi pale epl. Hawana majeruhi, wana game spirit, pia wana kikosi kikubwa kuweza kukaboliana na majeruhi kama watatokea.
sijawahi kuiamini spurs na hata hivi alivyo leo spurs atatoka kabisa hata hiyo top 4 hatokuwepo ila ninachokiona hiyo leceister ndiye unaemtabiri kwa jina la spurs, leceister me bado naiona ina nguvu tu na ndiye atasumbua hivi hivi mkizani pumzi imekata mnashangaa mnadroo na yeye anadroo mnashinda na yeye anashinda. Sijaona kuishiwa pumzi kwa leceister. Ngoja tuone
 
Ubingwa kwa gunners si kwa sababu mna kikosi bora na mnacheza vizuri, hapana. Hii itategemea man city na spurs ambao ndio washindani wenu wakubwa watafanyaje kwenye game zao. Naiona leichester city ikiishiwa pumzi na spurs wakiongeza kasi. Amini spurs watawatia pressure ile mbaya. Ukiiangalia spurs ndio timu ambayo ipo organized zaidi pale epl. Hawana majeruhi, wana game spirit, pia wana kikosi kikubwa kuweza kukaboliana na majeruhi kama watatokea.
Leicester ni mbaya zaidi ya Spurs, Spurs sio mara ya kwanza wanafika hapa wakati huu! Hawa pumzi itakata tu, ila leicester wachukuliwe seriously!
 
Pamoja na ubovu wa Chelsea msimu huu, jumapili hamtawafunga....lazima wapate matokeo hapo Emirates
 
Pamoja na ubovu wa Chelsea msimu huu, jumapili hamtawafunga....lazima wapate matokeo hapo Emirates

Mimi siiamini Arsenal ya wenger kuwa na nguvu ya kubeba ndoo,,ila chelsea bila Morinho ni uchochoro kwa Arsenal.Matokeo ni droo au wapigwe.
 
Pamoja na ubovu wa Chelsea msimu huu, jumapili hamtawafunga....lazima wapate matokeo hapo Emirates
Chelsea wanq hali mbaya sana huwezi linganisha na manure.....mliwachapa ngapi vile? kabla hujasema ya Arsenal
 
Arsenal boosted by match-day millions as Emirates generates over £100m to put Gunners top of the world
  • Arsenal generate more than £100million from home games
  • North London club earn most in the world, ahead of Real Madrid
  • Manchester United are next best English club, with £87.96m
  • Arsenal move above Chelsea into seventh in overall revenue table
3060626000000578-0-image-a-38_1453332127381.jpg


Arsenal will be celebrating after raking in over £100m from home games, more than any other club in Europe

3066937200000578-0-image-a-37_1453331580757.jpg


2E238F1800000578-0-image-a-40_1453332133308.jpg


Arsenal's revenue is now greater than rivals Chelsick for the first time, thanks largely to their new home

COYG
 
article-3410313-306EA5E500000578-108_636x421.jpg


The boys are back .. ... . .

306DD8C600000578-3410313-image-a-28_1453389123430.jpg


Alexis and Gibbs .... ..

306DDA6600000578-3410313-image-a-61_1453389953360.jpg


Per n Alexis

306DD78200000578-3410313-image-m-80_1453391402740.jpg


Elneny and Alexis

306DD71C00000578-3410313-image-m-64_1453390070471.jpg


Kos and Alexis

Oooops hang on a minute .... you know who's back?

306DDCB300000578-3410313-image-m-40_1453389250780.jpg
306DDD5B00000578-3410313-image-a-41_1453389256007.jpg


Francis Coquelin amerejea ... .... what a boost ... Ding ... Dong.

306E17DE00000578-3410313-image-a-82_1453391445709.jpg


306DD32200000578-3410313-image-a-84_1453391472015.jpg


Mesut ... ...

306DD16E00000578-3410313-image-a-47_1453389803268.jpg


306DE4FA00000578-3410313-image-a-56_1453389899777.jpg


Cech mate!

306DE4BE00000578-3410313-image-a-53_1453389825472.jpg


Mambo ya Colney hayo leo hii .... .... COYG

 
United, City and Chelsea fans celebrate trophies. Arsenal fans celebrate players coming back from injury
 
United, City and Chelsea fans celebrate trophies. Arsenal fans celebrate players coming back from injury
Define a trophy man.....

are Two FA cups ina two years not TROPHIES?

Haters kindly find other way to troll arsenal you are embarassing yourselves
 
''Arsenal have overtaken Chelsea to become London’s wealthiest club, according to the 19th annual Deloitte Football Money League. The Gunners have moved ahead of the Blues for the first time since 2010, thanks largely to their match-day earnings. According to Deloitte, Arsenal generated £101.84million from their games at the Emirates Stadium last season – a total unmatched across Europe. Spanish giants Real Madrid generated £100.12m from their games at the Bernabeu, while Barcelona made £90.17m from their home matches.''
Prudent Arsene Wenger ... ...... ... Wataisoma number tu.
 
Back
Top Bottom