Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu wa Gunners tupo kwenye nafasi nzuri sana, average points per game ni mbili hadi hivi sasa kutokana na draw mbili mfululizo. Tunatakiwa sasa kufanya kila linalowezekana J2 Emirates Stadium wakati tunawakaribisha Chelsick. Mtakumbuka Mike Dean tangu ule mtanange wa kwenye Cowshed hawezi kuchezesha tena mechi za Gunners kutokana na ile petition. FA hawatakubali kuburuzwa kwenye bunge la UK maana yataibuka mengi hivyo haijaeleweka kama yule mnoko MD atachezesha mechi yoyote ya Gunners. Kwa sasa yuko bench, Gaby na Elneny huenda wakawa kwenye starting lineup. Bring them on.
 
Sawa lakini tulitaka angalu sare pale Anfield na Britannia.

Sasa tukifunika kabisa jumapili ijayo basi hakuna tatizo, tunakuwa na 5 points kutokana na hizi 3 important games.
 
Hivi mna point ngapi vile? Usisahau Britania kuna upepo wa kufa mtu na kiwanja chao ni kibovu sana, Wacha iwe draw tuliwachabanga 2 mtungi Emirates wamei-prove kidogo. Khe khe khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Vipi Tottenham bado wako juu yenu au?
Kheeeeeeeee bingwa huwa hatolewi jachoo banaaaa,msimu huu wenu.....wala hata sijali nani yupo juu yangu mimi nachojua bado point 7 tu nimfikie top of the league.....
 
Sawa lakini tulitaka angalu sare pale Anfield na Britannia.

Sasa tukifunika kabisa jumapili ijayo basi hakuna tatizo, tunakuwa na 5 points kutokana na hizi 3 important games.
Chelsea watapaki bus ,mechi haitakuwa rahisi
 
Arsene wenger confirmed that Mesut Ozil will be back next Sunday at the Emirates, where we play Chelsick.
 
Kheeeeeeeee bingwa huwa hatolewi jachoo banaaaa,msimu huu wenu.....wala hata sijali nani yupo juu yangu mimi nachojua bado point 7 tu nimfikie top of the league.....

Umeshatupatia ubingwa? Bado mechi nyingi sana na lazima ufahamu motisha wa pesa za kuwa nafasi ya juu ni kubwa sana. (FYI the bottom team last season walilipwa approx 68 million paunds na timu iliyokuwa juu yao times one and half (102 million) and the one on top of that times one and half. Ndio sababu ushindani unakuwa mkubwa sana. Uzuri wa Gunners hivi sasa kikosi ni kikubwa na wachezaji majeruhi wanarejea hivyo kuanzia mwezi ujao mchezo wetu utabadilika sana na timu pinzani wajiandae na kapu la magoli. Ding .... Dong.
 
Sababu ya Man City kufungwa sio ya kujitetea otherwise kama hutaki ubingwa.Kuwa bingwa hizi ndio mechi za kushinda kuonyesha tofauti kwa wapinzani wako
Ni kwamba Britannia ni pagumu, kuna timu Iliwahi fungwa Britannia na bado zikachukua ndoo! Alafu ni kwa nini watu wengi waseme Araenal ndo tunachukua EPL wakati wa tano tumemzidi point saba tu? EPL title is there for the taking kwa timu kama sita hivi!
 
Ni kwamba Britannia ni pagumu, kuna timu Iliwahi fungwa Britannia na bado zikachukua ndoo! Alafu ni kwa nini watu wengi waseme Araenal ndo tunachukua EPL wakati wa tano tumemzidi point saba tu? EPL title is there for the taking kwa timu kama sita hivi!
Huu ndio msimu wa Arsenal kuchukua ubingwa otherwise labda aje kocha mwingine,serious competitors wako kwenye hali mbaya.Unakumbuka mwaka gani ambao United,Chelsea na Liverpool wakiwa kwenye form mbovu kama hii tena January
 
Huu ndio msimu wa Arsenal kuchukua ubingwa otherwise labda aje kocha mwingine,serious competitors wako kwenye hali mbaya.Unakumbuka mwaka gani ambao United,Chelsea na Liverpool wakiwa kwenye form mbovu kama hii tena January
Wazipochukua season hii Bac watasubiri xn...
 
Next week mpo na chelshit, all the best ila mkumbuke hizi timu ndogo ndogo za mikiani kipindi hiki zinakamia sana.
 
Huu ndio msimu wa Arsenal kuchukua ubingwa otherwise labda aje kocha mwingine,serious competitors wako kwenye hali mbaya.Unakumbuka mwaka gani ambao United,Chelsea na Liverpool wakiwa kwenye form mbovu kama hii tena January

EPL hivi sasa hakuna mechi rahisi kutokana na donge la pesa za TV. Kuna bonus kibao za wachezaji Managers etc. na hiyo ndio inafanya kuwe na ushindani zaidi, ni mbinu na tactic za managers jinsi ya kupanga timu na set up ya timu. Morinyo mbinu zake za ushindi ni kupack basi na hiyo mbinu aliitumia sana mwanzoni lakini msimu huu alipoanza kupack bus na timu nyingine zikafanya hivyo hivyo alipoanza kubadili kidogo ili wapate goli wanapata counter attack ya hali ya juu wanawekwa goli hivyo alikuwa hawezi tena kujichimbia golini kwake ndio sababu unaona mwaka huu wako kwenye relegation zone. Yaani tangu Moureen aondoke bado wanashikilia 14 position.

Hali yao itakuwa mbaya zaidi next Sunday watakapopigwa na Gunners kwa sababu hiyo mechi itakuwa ya kisirani.

BTW hii maneno ati Chelsick, Manure, Loserfools, Mancs etc. hawachezi vizuri na visingizio visivyo na mkia I don't buy them. Timu zote kubwa wametumia pesa kibao kununua wachezaji nyota. Kama Gunners watashinda ni kwa sababu wanatandaza mpira wa uhakika. Wacheni kulialia ati oh hatuchezi vizuri etc. Ndio hivyo hivyo kila mwaka kuna timu inakuwa na visingizio. Gunners sio siri walikuwa wanauza wachezaji wao wazuri kwa sababu ya madeni ya uwanja etc. lakini kuanzia mwaka juzi hawajauza any good players wa mwisho alikuwa Van who? Judas Iskariot chijui yuko wapi siku hizi. Sasa niambieni Chelsea waliuza staa gani?, Manure waliuza staa gani? Mancs waliuza staa gani? Wacheni kulialia. Kubalini tu mwaka huu mmezidiwa mbinu na kina Tinker man (Leicester), Watford etc.
 
Wazipochukua season hii Bac watasubiri xn...

Bado safari ni ndefu lakini tumejipanga kutetea FA cup na kama hatutapata majeruhi tutachukua kombe la EPL, usiwe na shaka Le Prof anafanya kazi kubwa sana pale Colney.

BTW kuna tetesi Barca wanamtaka Rambo kwa 60 million mwisho wa msimu, tutaona kama itawezekana lakini Prof hana wasi wasi naye kwa sababu kwenye number yake bado tunao wachezaji wengi.
 
01_17203845_134459_2645321a.jpg


Keepers of the day.
 
Umeshatupatia ubingwa? Bado mechi nyingi sana na lazima ufahamu motisha wa pesa za kuwa nafasi ya juu ni kubwa sana. (FYI the bottom team last season walilipwa approx 68 million paunds na timu iliyokuwa juu yao times one and half (102 million) and the one on top of that times one and half. Ndio sababu ushindani unakuwa mkubwa sana. Uzuri wa Gunners hivi sasa kikosi ni kikubwa na wachezaji majeruhi wanarejea hivyo kuanzia mwezi ujao mchezo wetu utabadilika sana na timu pinzani wajiandae na kapu la magoli. Ding .... Dong.
Kumbe huna uhakika na timu yako aiseee......poyeeeee basi sisi ndo mabingwa......kheeeeee
 
Ubingwa kwa gunners si kwa sababu mna kikosi bora na mnacheza vizuri, hapana. Hii itategemea man city na spurs ambao ndio washindani wenu wakubwa watafanyaje kwenye game zao. Naiona leichester city ikiishiwa pumzi na spurs wakiongeza kasi. Amini spurs watawatia pressure ile mbaya. Ukiiangalia spurs ndio timu ambayo ipo organized zaidi pale epl. Hawana majeruhi, wana game spirit, pia wana kikosi kikubwa kuweza kukaboliana na majeruhi kama watatokea.
 
Back
Top Bottom