Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Sababu ya Man City kufungwa sio ya kujitetea otherwise kama hutaki ubingwa.Kuwa bingwa hizi ndio mechi za kushinda kuonyesha tofauti kwa wapinzani wakoMkuu lakini Man City walipigwa 2-0 hapahapa Britannia.