Usitake nacheka
Pengine naweza kuwa mkongwe kwenye ushabiki wa team pendwa na umri kama upo chini ya 40 uniombe msamaha kwa kuniita teenager
Unaweza kuwa na umri mkubwa...ila huelewi kinachoendelea within your Club...
nimekuelewesha sana nyuma huko bado unahitaji Darasa la ziada
narudia tena HUWEZI KUBEBA UBINGWA KAMA HUNA STABILITY maana yake nini , yaani unapoteza Key players wako wa kikosi cha kwanza kila msimu...msimu unaofuata unaanza upya
2005-2006 - Vieira aliuzwa, na Edu
2006-2007 - Ashley Cole aliuzwa, sol campbell akaondoka pia, Henry nae aliondoka mwisho wa huu msimu na Denis Berkamp Alistaafu soka, Robert PIRES na Fredie Ljungberg, Lauren Etame mayer
2007-2008 - (msimu bora kabisa kwa miaka ya karibuni) mwisho wa msimu aliuzwa HLEB, na FLAMINI alikimbilia AC MILAN, Gilberto silva aliuzwa Panathinakos na Jens LEHMAN, Lassana Diara.
2008-2009 - (moja katika misimu migumu kwa Arsenal Fans) tulirundika Vitoto vitupu havina Uzoefu wa kutosha Msimu ukawa mbaya sana
2009-2010 - adaebayor, Kolo toure, Philipe senderos waliuzwa
2010-2011 - William Gallas, Eduardo waliuzwa
2011-2012 - Clichy, Eboue, Fabregas, Nasri waliondoka
2012-2013 - RVP na Song, Carlos Vela, Almunia waliuzwa wote
Kwa Hii Stability ulitaka Ubingwa upatikane kwa style gani? bear in your mind Man utd walikuwa STABLE HATARI, CHELSEA USIULIZE, CITY wakamwaga PESA hapa Unahitaji Degree kuona kwanini TULIYUMBA SANA??
Narudia tena moja ya sababu ya Timu kufanya vizuri ni kuthibiti nyota wake wakae muda mrefu pamoja lakini Ukiuza uza HAKUNA MUUJIZA