Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal mpira wetu wa Possession nyingi umepotea mwaka huu.
 
Jamani hawa vijana wananifanya niyabane hadi yanageuka rangi.... Ramsey alikuwa mchoyo pale, tungekuwa tumeshamaliza mechi
 
2FBE4F6700000578-3382039-image-a-92_1451752651226.jpg


Laurent Koscielny akiweka chuma wavuni kuandika bao la ushindi

2FBE51F200000578-3382039-image-a-102_1451752847385.jpg


2FBE641900000578-3382039-image-a-103_1451753226069.jpg


Prof knows last week alimweka Gaby akaweka vitu, leo Kos

2FBE641400000578-3382039-image-a-105_1451753397472.jpg


2FBE0ECC00000578-3382039-image-a-108_1451753951879.jpg


Theo alikuwepo, katika ulinzi mkali ....

2FBE4D0F00000578-3382039-image-a-90_1451752544844.jpg


Le Prof .... not happy at the touchline ... ..

2FBE36C700000578-3382039-image-a-83_1451751623885.jpg


2FBE2AD500000578-3382039-image-a-85_1451751865368.jpg


Rambo in agony .... ..

2FBDFD1E00000578-0-image-a-63_1451750035809.jpg


2FBE0C7D00000578-3382039-image-m-113_1451754387954.jpg


Ox anam-mis Alexis ... ..

2FBE0C7500000578-3382039-image-m-110_1451754053427.jpg


OG hakufua dafu kwenye mvua ... ..

2FBDF78600000578-0-image-a-67_1451750596793.jpg


2FBE0EBD00000578-3382039-image-a-114_1451754557763.jpg


COYG
 
Next stops Sunderland (FA cup) and Loserpool (Premier League) =2 wins.
 
Sioni sababu yoyote kwanini Arsenal wasiwe mabingwa................

Tunamsubiri Alexis arudi kwenye timu pamoja na wachezaji wawili watatu wapya kama Prof alivyohidi, mwaka huu timu zote zilizokuwa promoted wamejitahidi sana kutokana na pesa za TV. Kama Prof aki-manage vizuri wachezaji majeruhi sioni timu ya kuisumbua Gunners kwenye mzunguko wa pili.
 
Sioni sababu yoyote kwanini Arsenal wasiwe mabingwa................

Hahahaha acha kutuchulia mkuu. Ligi bado mbichi hii. Unazi pembeni Arsenal,Leicester, Manchester City, Manchester United, Spurs,(hata kina West Ham United, Palace, Liverpool hawapo mbali) wote wapo nafasi nzuri(kimahesabu) ya kubeba kombe. Arsenal tatizo tulilonalo ni majeruhi tunayopata kila siku. Atakayebeba hili kombe ni yule atakayeendeleza moto (consistence) wa ushindi na kustay focused. Naona Manchester City wame grind results kwa kushinda ndani ya dakika 8 za mwisho.
 
Hahahaha acha kutuchulia mkuu. Ligi bado mbichi hii. Unazi pembeni Arsenal,Leicester, Manchester City, Manchester United, Spurs,(hata kina West Ham United, Palace, Liverpool hawapo mbali) wote wapo nafasi nzuri(kimahesabu) ya kubeba kombe. Arsenal tatizo tulilonalo ni majeruhi tunayopata kila siku. Atakayebeba hili kombe ni yule atakayeendeleza moto (consistence) wa ushindi na kustay focused. Naona Manchester City wame grind results kwa kushinda ndani ya dakika 8 za mwisho.
Mmeanza mashaka mashaka tukiwaambia mnabisha,Asante maadam umekiri mwenyewe, wa pili atakayefuata ni wewe kukupa ban msipochukua kumbe...
 
Hahahaha acha kutuchulia mkuu. Ligi bado mbichi hii. Unazi pembeni Arsenal,Leicester, Manchester City, Manchester United, Spurs,(hata kina West Ham United, Palace, Liverpool hawapo mbali) wote wapo nafasi nzuri(kimahesabu) ya kubeba kombe. Arsenal tatizo tulilonalo ni majeruhi tunayopata kila siku. Atakayebeba hili kombe ni yule atakayeendeleza moto (consistence) wa ushindi na kustay focused. Naona Manchester City wame grind results kwa kushinda ndani ya dakika 8 za mwisho.
Man utd wako 9pts behind na perfomance zake hazileti matumaini,tulikuwa na fixture list very favourable lakini hatujashinda tangu november 21 mpaka tumebahatisha leo,hio ni midtable form.

Liverpool sisemi chochote ila ni afadhali ya man utd. Palace,hammers come on......u r joking right? Spurs still a small team hawawezi kuchukua ubingwa.

Man city, iwapo Arsenal mkiteleza city ndio anachukua kombe lakini its in your hands.
 
Back
Top Bottom