Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
Hii issue ya pesa imekuwa kisingizio kwa wafuasi wa Wenger kutobeba ubingwa,Arsenal mara nyingi wamekosa ubingwa kwa approach ya Wenger kwenye mechi nyingi hasa big mech siku hizi ameanza kubadilika ndio maana anashinda.Wachezaji wengi wanaofanya vizuri sasa Monrel,Berelin,Coq,Carzola,Ramsey,Walcot,Giroud,Per, wote hawa wamenunuliwa kwa hela ya kawaida
Sababu nyingine timu pinzani (Man United,Man City,Liverpool,Chelsea )zimekuwa zinabadilisha makocha kila baada ya misimu 2 na kutokuwa stable while yeye yupo siku zote ni advantage kubwa sana kwa Wenger
ni moja ya sababu, sababu nyingine ni je ambition ya Ubingwa WALIKUWA NAYO au danganya toto?
kuna kipindi wenger alikuwa akisema wazi TOP FOUR IS LIKE A TROPHY (hakuwa na lango nje ya Top four yule)
na last season alikiri kuwa Hawakuwa wakichallenge ubingwa japokuwa walikuwa wakiwambia fans hivyo