Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ramsey, K6, Nacho they are good squad players they are not at that level. Hector is exceptional he is growing up quit well and if his progress is not deltered he will be our own Cafu but for now he is developing.

tell me now who is so far a best left back in EPL round 18? if not nacho who else? (remember stats do not lie) so far this season apart from toby heiderweid (spurs) and chriss smalling (manure) no center back has performed more than Laurent Kosielny (refer so Opta stats) still you say he is average? a squad player? you are not serious at all

a squad player? where will you put players like Ox, gibbs, chambers, arteta, flamini?
 
Usajili wa Mohamed Elnany -Update

Elnany anafanyiwa medical leo jijini Paris na pia ameombewa work permit London.

Kama kila kitu kitakwenda sawa Elnany atatangazwa mchezaji wa Arsenal baada ya mwaka mpya yaani kabla ya weekend au ndani ya wiki ijayo.
 
Usajili wa Mohamed Elnany -Update

Elnany anafanyiwa medical leo jijini Paris na pia ameombewa work permit London.

Kama kila kitu kitakwenda sawa Elnany atatangazwa mchezaji wa Arsenal baada ya mwaka mpya yaani kabla ya weekend au ndani ya wiki ijayo.
Yuko vizuri ama?
 
Naona tunaweza kumaliza mwaka tukiwa juu. Msimu huu tusipoondoka na makombe 3 nitauza Bajaj yangu.
 
Naona tunaweza kumaliza mwaka tukiwa juu. Msimu huu tusipoondoka na makombe 3 nitauza Bajaj yangu.

Makombe 3 ? you are too optimistic my friend

ubingwa ulivyo ni marathon (mbio ndefu) mpaka mwezi wa 3 unakuwa na picha kamili ni akina nani wako katika Contention ya kuubeba sio December weka akiba ya maneno muzee
 
Naona tunaweza kumaliza mwaka tukiwa juu. Msimu huu tusipoondoka na makombe 3 nitauza Bajaj yangu.


I hope humaanishi unalolisema.

Cl Barca unamtolea wapi!?
kikombe cha chai tulishatolewa.
Tunabaki na FA na EPL by which FA haitabiliki inategemea umeamkaje siku hiyo. Ukiamka vibaya watoto wanachezea shwarubu tu.
EPL ni marathon subiri subiri tuimalize February kisha pima maneno yako kama ubavu upo au ndo yale yale ya miaka hii 11 ya kukikosa. Ikifika February baiskeli yetu ya barafu joto likizidi inayeyuka mwisho wa safari tunaanza kutembea kwa azimio la Arusha kumalizia Safari
 
Yuko vizuri ama?
Another Midcore player of Wenger Caliber

Wakuu huyu ni long term subject na ni future replacement ya Cazorla.

Yule wa Sevilla au Victor Wanyama ni hapo wakati wa usajili mkubwa kuja kuchukua nafasi za Flamini, Arteta na Rosicky.

Halafu Jack Wilshere bado iko majeruhi na pia Coquelin anatarajiwa kurudi mwezi February.

Pia kuna uwezekano mwezi ujao akasajiliwa mshambuliaji kwa njia ya mkopo maana Mesut Ozil jana alitengeneza vyumba 4 na Theo Walcott akashindwa kumalizia ingekuwa goli zaidi ya 6.

Ozil alikuwa hajapenda hio.

Kuhusu Mohamed Elnany

Ana umri wa miaka 23

Ni mchezaji wa kimataifa wa kiungo wa Misri na mabingwa wa Uswiss Basel.

Amechezea timu ya nchi yake mara 39 tangia mwaka 2011

Alijiunga na Basel mwaka 2013 akitokea timu ya Mokawloon ya Misri.

Akiwa Basel timu hiyo imetwaa ubingwa wa ligi ya Uswiss mara tatu.

Ni kiungo ambae anacheza sana ndani "deep" yaani nyuma lakini ni mtoaji pasi mzuri.
 
Wakuu huyu ni long term subject na ni future replacement ya Cazorla.

Yule wa Sevilla au Victor Wanyama ni hapo wakati wa usajili mkubwa kuja kuchukua nafasi za Flamini, Arteta na Rosicky.

Halafu Jack Wilshere bado iko majeruhi.

Pia kuna uwezekano mwezi ujao akasajiliwa mshambuliaji kwa njia ya mkopo maana Mesut Ozil jana alitengeneza vyumba 4 na Theo Walcott akashindwa kumalizia ingekuwa goli zaidi ya 6.

Ozil alikuwa hajapenda hio.

Kuhusu Mohamed Elnany

Ana umri wa miaka 23

Ni mchezaji wa kimataifa wa kiungo wa Misri na mabingwa wa Uswiss Basel.

Amechezea tomu ya nchi yake mara 39 tangia mwaka 2011

Alijiunga na absel mwaka 2013 akitokea timu ya Mokawloon ya Misri.

Akiwa Basel timu hiyo imetwaa ubingwa wa ligi ya Uswiss mara tatu.

Ni kiungo ambae anacheza sana ndani "deep" yaani nyuma lakini ni mtoaji pasi mzuri.

Mohamed Elneny ni Cover ya Coquelin ila anaweza pia cheza Attacking (jamaa ni Box to Box) anaweza kucheza kama displined Defensive midfielder au attacking midfielder...

Skysports wali preview Profile yake kwa undani sana....ni Prolific na umri wake 23 atatusaidia sana sana....

Profile yake inavutia.....Lets wait and see
 
Wakuu huyu ni long term subject na ni future replacement ya Cazorla.

Yule wa Sevilla au Victor Wanyama ni hapo wakati wa usajili mkubwa kuja kuchukua nafasi za Flamini, Arteta na Rosicky.

Halafu Jack Wilshere bado iko majeruhi na pia Coquelin anatarajiwa kurudi mwezi February.

Pia kuna uwezekano mwezi ujao akasajiliwa mshambuliaji kwa njia ya mkopo maana Mesut Ozil jana alitengeneza vyumba 4 na Theo Walcott akashindwa kumalizia ingekuwa goli zaidi ya 6.

Ozil alikuwa hajapenda hio.

Kuhusu Mohamed Elnany

Ana umri wa miaka 23

Ni mchezaji wa kimataifa wa kiungo wa Misri na mabingwa wa Uswiss Basel.

Amechezea timu ya nchi yake mara 39 tangia mwaka 2011

Alijiunga na Basel mwaka 2013 akitokea timu ya Mokawloon ya Misri.

Akiwa Basel timu hiyo imetwaa ubingwa wa ligi ya Uswiss mara tatu.

Ni kiungo ambae anacheza sana ndani "deep" yaani nyuma lakini ni mtoaji pasi mzuri.

Ukimuondoa Zizu, Ronadinho, Messi, George Haghi (Sijui kama mnamkumbuka) , JJ Okocha ambao uwezo wao haukuwa wa kificho wachezaji wengine wote ukiwataguta Youtube hakuna aliyewahi kuonekana mbaya. Wote wa moto tu na watamu
 
k
I hope humaanishi unalolisema.

Cl Barca unamtolea wapi!?
kikombe cha chai tulishatolewa.
Tunabaki na FA na EPL by which FA haitabiliki inategemea umeamkaje siku hiyo. Ukiamka vibaya watoto wanachezea shwarubu tu.
EPL ni marathon subiri subiri tuimalize February kisha pima maneno yako kama ubavu upo au ndo yale yale ya miaka hii 11 ya kukikosa. Ikifika February baiskeli yetu ya barafu joto likizidi inayeyuka mwisho wa safari tunaanza kutembea kwa azimio la Arusha kumalizia Safari
Barcelona atakalishwa tu. Tutawawashia moto kama serikali ya Magufuli inavyowawashia watu wa TRA na Bandarini.
 
k

Barcelona atakalishwa tu. Tutawawashia moto kama serikali ya Magufuli inavyowawashia watu wa TRA na Bandarini.

Nachukia kuota mchana.

Nakuacha uendelee kuota na sitakuamsha hadi umalize ndoto yako.

Kifupi Arsenal hatuna team ya kutunishiana misuri na miamba ya ulaya iliyo kwenye 16 bora.

Wametuacha mbali sana. Ligi tu ya EPL jasho linatutoka sembuse ulaya.

Achaneni na kuota ndoto ngumu ukaishia kupata msongo wa mawazo bure.
 
Ukimuondoa Zizu, Ronadinho, Messi, George Haghi (Sijui kama mnamkumbuka) , JJ Okocha ambao uwezo wao haukuwa wa kificho wachezaji wengine wote ukiwataguta Youtube hakuna aliyewahi kuonekana mbaya. Wote wa moto tu na watamu

Cheki unavyojichanganya hapa

We wadhani ULAYA hakuna Scouts? unadhani wachezaji wananunuliwa kupitia Clips za Youtube? be serious man

Wachezaji alowanunua Wenger na kuwalete na wakafanikiwa 90% walikuwa UNKNOWNS

we Fransic Coquelin, kos, Vieira, na wengi wengi tu Idadi kubwa tu ULIWAJUA? ebu acheni UJUAJI usio maana

Its better tubakie kuwa mashabiki tu kuliko kuingilia kazi za watu....

ulaya hata KUFUATILIA MCHEZAJI ni Professional za watu hizo
 
Cheki unavyojichanganya hapa

We wadhani ULAYA hakuna Scouts? unadhani wachezaji wananunuliwa kupitia Clips za Youtube? be serious man

Wachezaji alowanunua Wenger na kuwalete na wakafanikiwa 90% walikuwa UNKNOWNS

we Fransic Coquelin, kos, Vieira, na wengi wengi tu Idadi kubwa tu ULIWAJUA? ebu acheni UJUAJI usio maana

Its better tubakie kuwa mashabiki tu kuliko kuingilia kazi za watu....

ulaya hata KUFUATILIA MCHEZAJI ni Professional za watu hizo

Santos kweli Sikumfahamu.
Batista sikumfahamu
MERIDA sikumfahamu
Denilison sikumfahamu
Squilasch sikumgahamu
Pernat sikumfahamu
Bentley sikumfahamu

WENGI tu sikuwafahamu

Ila walioshindwa na kufanikiwa wengi ni walioshindwa na yet kuna scouts.
 
Santos kweli Sikumfahamu.
Batista sikumfahamu
MERIDA sikumfahamu
Denilison sikumfahamu
Squilasch sikumgahamu
Pernat sikumfahamu
Bentley sikumfahamu

WENGI tu sikuwafahamu

Ila walioshindwa na kufanikiwa wengi ni walioshindwa na yet kuna scouts.

Mkuu hao wachezaji wote ulowataja Wenger aliwasajili wakati wa shida yaani uwanja mpya ulipokuwa ukijengwa.

Tangu Arsenal ihamie Emirates wanajitahidi kusafanya usajili waa maana kama wa Mesut Ozil na Alexis Sanchez.

Wenger huwa hapendi kufanya usajili mkubwa mwezi January isipokuwa wakati wa summer.

Wewe subiri utaona usajili wa mwaka huu mwezi Juni /Julai,maana wanaondoka Flamini, Rosicky na Arteta atabakizwa aje kuwa kocha msaidizi.
 
Mwisho wa siku sisi ni Mashabiki tu

Mkuu uwe unasomasoma entries zangu kuhusu usajili maana na mimi pia ni mmoja wa maskauti wa vipaji.

Hivi sasa najiandaa kuingia BRELA kusajili kampuni.
 
Mkuu hao wachezaji wote ulowataja Wenger aliwasajili wakati wa shida yaani uwanja mpya ulipokuwa ukijengwa.

Tangu Arsenal ihamie Emirates wanajitahidi kusafanya usajili waa maana kama wa Mesut Ozil na Alexis Sanchez.

Wenger huwa hapendi kufanya usajili mkubwa mwezi January isipokuwa wakati wa summer.

Wewe subiri utaona usajili wa mwaka huu mwezi Juni /Julai,maana wanaondoka Flamini, Rosicky na Arteta atabakizwa aje kuwa kocha msaidizi.

Jaribu kumwelimisha kuwa wakati tunanunua Mediocre players kama Squilaci haikuwa Coincidence

labda atakulewa
 
Back
Top Bottom