Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,647
THE SPECIAL ONE...
![]()
Mlikuwa na #Trophyless ikakata mnahamia kwenye EPL na tunachukua come to may
mtahamia UCL khe khe khe kheeeee
THE SPECIAL ONE...
![]()
Mlikuwa na #Trophyless ikakata mnahamia kwenye EPL na tunachukua come to may
mtahamia UCL khe khe khe kheeeee
Mimi mgeni wako leo jamani usinikimbie na nilivyo na machungu niandalie red win kabisa nicheki game kwa uzuri kabisa.....
Mimi mgeni wako leo jamani usinikimbie na nilivyo na machungu niandalie red win kabisa nicheki game kwa uzuri kabisa.....
Masuala ya takwimu.
Arsenal wamepoteza mechi moja tu kati ya 18 za nyumbani dhidi ya Manchester City yaani wameshinda mechi 11 na kutoka sare mechi 6. Lakini wameshinda mechi 1 kati ya 6 walizocheza hivi karibuni.
Manchester City wamepoteza mechi 22 kati yake na Arsenal na hii rekodi wanachangia pamoja na Chelsea.
NB
Chanzo cha Takwimu hizi nio OPTA INDEX
Usije tu kukimbia....mwenyewe City anakufa mapemaaaa....
Naomba kule kwako usiondoe turubai maana Britania sio sehemu salama kabisa hakika kabla ya kuanua matanga una msiba mwingine.
arsenal leo kushinda itakua ngumu,sababu kiungo chake hakiwezi shindana na cha city,pia ramsey anapenda kufunga kuliko majukumu yake kama kiungo na kujisahau kule mbele kiasi kwamba hujikuta yupo nyuma ya mpira wakat tim inashambuliwa,sanchez ni bora asicheze,ataumia zaid na kufanya akose mechi nyingi..japo mpira hudunda