Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanasikitika sana maana watarudi Europa.......

Wanatakiwa kupindua zile 3:2 ili wawe juu ya wagiriki ni km mtoano wao kwa wao coz wanaangalia matokeo baina yao so wakishinda 1;0...2:1. ni WAY TO EUROPA LEAGUE
 
Karudi Ramsey, The Ox jmosi, na wk inayofuata Walcott!
Ila Coqulin ndo tutammiss sana maana wa kumsub wote sio wazuri sana! Ila wapo sio kwamba hawapo kabisa, ni kwamba alitakiwa awepo kuweza kufanya rotation na wenzake, si unajua ratiba kati ya tarehe 20 dec na mpaka jan mwanzo!
Kuna Flamini, Chambers, Ramsey wa kucheza hapo!

chambers bure kabisa,hawez kucheza pale,game ya jana kapoteza tu mipira
 
zp_01_3443.jpg


Prof kama kawa akiingia Emirates ... .....


zp_02_4228.jpg

zp_03_9969.jpg


All set for the match .... .... .. .

zp_08_2236.jpg




gun__1448409978_POTD.jpg


Ozil baada ya kuweka chuma wavuni .... ..... ....
 
zp_05_6269.jpg


Ozil at his best ... . ..

zp_06_9258.jpg


Joe Campbell alikuwepo .... ..

zp_07_1674.jpg


Santi kama kawa ... .

zp_09_3915.jpg


zp_11_6241.jpg


OG anampongeza Ozil ... .... .

zp_12_9259.jpg


zp_13_5530.jpg


Per ... ..... . .

zp_14_4621.jpg


Alexis .... .... . akiweka chuma wavuni ....

zp_15_2571.jpg


zp_16_6229.jpg


zp_19_9734.jpg


zp_20_3830.jpg


zp_22_8677.jpg


zp_23_214.jpg


zp_24_1588.jpg


zp_25_4862.jpg


zp_26_3399.jpg


zp_27_5998.jpg


zp_28_4104.jpg


Rambo was back

zp_21_9081.jpg


Done and dusted .... ... Ding ... dong.
 
Wakuu tunatakiwa kushinda mechi ya mwisho tarehe 9 December kwa ushindi wa zaidi ya magoli mawili (ie 3-0; 3-1; 4-2 etc) ili tuingia kwenye knock out stages ... ...... Prof knows ... .. Ding ... Dong.

Nafahamu vimburukenge vimeanza kusema ati Munchen wanatuchubiri ...... ...... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee e hayo ni maombi matakatifu yaani tutakumbana nao kwenye fainali panapo majaliwa.....COYG


To qualify:
Gunners must beat Olympiacos in Greece on the final match day by more than two goals - or by one goal if they score at least four.
 
Wakuu tunatakiwa kushinda mechi ya mwisho tarehe 9 December kwa ushindi wa zaidi ya magoli mawili (ie 3-0; 3-1; 4-2 etc) ili tuingia kwenye knock out stages ... ...... Prof knows ... .. Ding ... Dong.

Nafahamu vimburukenge vimeanza kusema ati Munchen wanatuchubiri ...... ...... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee e hayo ni maombi matakatifu yaani tutakumbana nao kwenye fainali panapo majaliwa.....COYG


To qualify:
Gunners must beat Olympiacos in Greece on the final match day by more than two goals - or by one goal if they score at least four.

Yeah ni 2-0, 3-1, 4-3 Nk....
 
Endeleeni kujifaliji teeeh teeeh

Wala hatuna shaka kama tusipojifariji utatufajiri wewe? Wacha wivu wa kike, Gunners tupo uzuri tu wala usianze kuwewesekaweweseka ..... ..... .. khe khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
Back
Top Bottom