Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

87min Campbell anapata nafasi lakini bado kuweka kimiani ... .... ..... ..... bad choices mpira wa kichwa anataka kufunga na mguu ... .
 
Extra time .... .... .... .. huyu refa naye mshenzi. Tumetoka draw wakuu, we gave them a very soft goal .... .... .... .. with a heavy prize in injuries.
 
Extra time .... .... .... .. huyu refa naye mshenzi. Tumetoka draw wakuu, we gave them a very soft goal .... .... .... .. with a heavy prize in injuries.


Don't elaborate please khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nimeona mtanange ulionialika niuone kheeeeeeeeeee the same same to me, No DM no Striker,tena better me my dear!!!! kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Extra time .... .... .... .. huyu refa naye mshenzi. Tumetoka draw wakuu, we gave them a very soft goal .... .... .... .. with a heavy prize in injuries.

Haya hayaaa karibu chama la droo, jana ulikuwa bize sana mtaa wa kwetu, huu ndo mpira sometimes yes sometimes no....
 
Extra time .... .... .... .. huyu refa naye mshenzi. Tumetoka draw wakuu, we gave them a very soft goal .... .... .... .. with a heavy prize in injuries.
Wacha maneno wewe Kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee sheria ya mtandao itakuhusu.....
 
Last edited by a moderator:
Teeeh the gunnerz amuingii 4 bora msimu huu.mtakoma sana safari hii
 
Point moja sio mbaya, ila management na hiki kikosi hakijasheheni winners, kidogo kama ni kushinda epl title tutahitaji msaada wa timu zingine zifungwe! Hatuna urgency, tunasubiri tu kama chansi itatokea badala ya kuwalazimisha wakosee tutumie makosa!
Anyway, ndo mpira huo point 2 toka kileleni, ila kiukweli, majeruhi na ratiba ya desemba na januari mwanzoni kazi tunayo!
Cha msingi nafasi ya nne TUSHAIKALIA.
 
60min Alexis hamstring .... .. off injured ..... ... Campbell in.

Kwa nini Wenger kamchezesha wakati yeye mwenyewe Wenger alisema 'alikuwa' na harmstring?? Yeye ndo bosi ila sometimes anakosea, sasa Sanchez hiyo gamble imeback fire! Mbeleni tuna mechi muhimu sana.
 
Arsenal fans have been watching the
same season for the past 10 years. They
added that FA cup episode in 2014.
 
Arsenal in the Premier League: In
October: 4 games 4 wins In November: 3
games 0 win
hahahahaaa soon tutakua na WENGER OUT campaign
 
Point moja sio mbaya, ila management na hiki kikosi hakijasheheni winners, kidogo kama ni kushinda epl title tutahitaji msaada wa timu zingine zifungwe! Hatuna urgency, tunasubiri tu kama chansi itatokea badala ya kuwalazimisha wakosee tutumie makosa!
Anyway, ndo mpira huo point 2 toka kileleni, ila kiukweli, majeruhi na ratiba ya desemba na januari mwanzoni kazi tunayo!
Cha msingi nafasi ya nne TUSHAIKALIA.

mkuu kwa hiyo ss tunapigania nafas ya nne badala ubingwa@barafuyamoto
 
Point moja sio mbaya, ila management na hiki kikosi hakijasheheni winners, kidogo kama ni kushinda epl title tutahitaji msaada wa timu zingine zifungwe! Hatuna urgency, tunasubiri tu kama chansi itatokea badala ya kuwalazimisha wakosee tutumie makosa!
Anyway, ndo mpira huo point 2 toka kileleni, ila kiukweli, majeruhi na ratiba ya desemba na januari mwanzoni kazi tunayo!
Cha msingi nafasi ya nne TUSHAIKALIA.

2 pts out of possible 9 in 3 games. What a joke!!!!!!!!!!!!
 
..."wengine watapoteza point, what about us"?
to be the best, you must outscore the rest!
 
zp_02_2218.jpg


OG alifanyiwa kila aina ya fujo
lakini hakupata service ya uhakika ... .

zp_04_1822.jpg


Ozil akiweka chuma wavuni

zp_05_8335.jpg


zp_06_1561.jpg


zp_07_1921.jpg


zp_08_9393.jpg


zp_09_4257.jpg


Rambo alikuwepo

zp_11_1986.jpg


Alexis kama kawa .... ..

zp_14_2972.jpg


Ozil akikabwa kwa makundi ..... ..

zp_17_3949.jpg


Carz akitoka kwenye mieleka iliyotawala ...

zp_18_6041.jpg


Ox alikuwepo .. .. .

zp_19_7015.jpg


Campbell akivutwa mkono .... .

zp_20_5161.jpg


Ozil akiatamiwa .. ..

zp_01_6104.jpg


Prof hana wasi wssi anafahamu bado point 72
za kugombania zipo
COYG
 
Prof amethibitisha leo kwamba Kos na Carz watakuwepo kwenye mtanange wa weekend hii .... .. ... wakati hup hup C Chambers ameanza kucheza na under 21 kwenye defensive midfield ili kuchukua nafasi ya Coq ..... . . alite majeruhi.
 
zp_02_2218.jpg


OG alifanyiwa kila aina ya fujo
lakini hakupata service ya uhakika ... .

zp_04_1822.jpg


Ozil akiweka chuma wavuni

zp_05_8335.jpg


zp_06_1561.jpg


zp_07_1921.jpg


zp_08_9393.jpg


zp_09_4257.jpg


Rambo alikuwepo

zp_11_1986.jpg


Alexis kama kawa .... ..

zp_14_2972.jpg


Ozil akikabwa kwa makundi ..... ..

zp_17_3949.jpg


Carz akitoka kwenye mieleka iliyotawala ...

zp_18_6041.jpg


Ox alikuwepo .. .. .

zp_19_7015.jpg


Campbell akivutwa mkono .... .

zp_20_5161.jpg


Ozil akiatamiwa .. ..

zp_01_6104.jpg


Prof hana wasi wssi anafahamu bado point 72
za kugombania zipo
COYG
Wacha kupendelea weweee!! Mbona za Norwich wakiwafunga na kuwakosakosa hujaweka ?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom