Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nafikiri kuanzia jumatatu au umma NNE tutaanza kusifia medical staff na vitu ka hizo ikizidi ni Monday

Mmeshaona dezo kusajili wachezaji week ya mwisho, aya angalieni msije mkaokota Welbeck mwingine
 
Mmeshaona dezo kusajili wachezaji week ya mwisho, aya angalieni msije mkaokota Welbeck mwingine

Unakosea ukimtaja welbeck wa Fa cup 2-1 sema Sanchez au ata Ö ntakuelewa in fact ligi ni mbichi so hakuna matata kabisa
 
Taarifa zilizonifikia hivi punde toka kwa mtu wa karibu wa prof wenger ni kuwa ana mpango wowote wa kumsajili Benzema, baada ya kuridhishwa na uponaji wa haraka wa Dan welbeck (mabao)
 
Somthg I love abt my team, is 30 it likes 2 grow its own. It's wat gvs a team/club an identity. Not buying every gud player & bkam a dumpsite of gud players. Luk @ MWANASITI(mancity), they av best players yet the finished last season wtout a trophy. GOONER 4EVA
 
Wakuu mambo ndio hivyo tena Benzima anatarajiwa kufanya medical J4 kutokana na prof kutokutaka maandalizi ya Loserfools kuingiliwa na mambo ya usajili as you know Prof knows better. Ding ... Dong.

BTW No pics otherwise Invisible mungiki Brother watakomelea hii thread ... ..... ..... .. Kama walivyofanya New Era at the Emirates ... ..
 
Last edited by a moderator:
Wakuu mambo ndio hivyo tena Benzima anatarajiwa kufanya medical J4 kutokana na prof kutokutaka maandalizi ya Loserfools kuingiliwa na mambo ya usajili as you know Prof knows better. Ding ... Dong.

BTW No pics otherwise Invisible mungiki Brother watakomelea hii thread ... ..... ..... .. Kama walivyofanya New Era at the Emirates ... ..

😀😀😀😀😀😀 Hongereni sana
 
Last edited by a moderator:
wakuu mambo ndio hivyo tena benzima anatarajiwa kufanya medical j4 kutokana na prof kutokutaka maandalizi ya loserfools kuingiliwa na mambo ya usajili as you know prof knows better. Ding ... Dong.

btw no pics otherwise invisible mungiki brother watakomelea hii thread ... ..... ..... .. Kama walivyofanya new era at the emirates ... ..

delusions
 
Last edited by a moderator:
Usajili Updates

Wakuu Benzema huenda akatua London jumapili na medical ikafanywa siku hiohio na jumatatu akatambulishwa kwa wapenzi pale Emirates.

karim-benzema1_3415485b.jpg


Karimu Benzema akiwa anaelekea kwenye ndege katika uwanja wa ndege unaoaminika kuwa wa Barajas mjini Madrid.

Hii picha imepigwa hivi karibuni ikielezxa kwamba Benzema alikuwa akielekea London kwa ndege ya kukodiwa.

Benzema alikwishambiwa na Benitez kwamba angekuwa mchezaji wa akiba na Ronaldo ndie atakuwa mshambuliaji wa mbele yaani kwenye mtindo wa 4-3-2-1

Hivyo basi tusubiri kesho.
 
Richard benzema lazima atue yani naesabu vidole mezani kama nadownload movie
 
Usajili Updates

Wakuu Benzema huenda akatua London jumapili na medical ikafanywa siku hiohio na jumatatu akatambulishwa kwa wapenzi pale Emirates.

karim-benzema1_3415485b.jpg


Karimu Benzema akiwa anaelekea kwenye ndege katika uwanja wa ndege unaoaminika kuwa wa Barajas mjini Madrid.

Hii picha imepigwa hivi karibuni ikielezxa kwamba Benzema alikuwa akielekea London kwa ndege ya kukodiwa.

Benzema alikwishambiwa na Benitez kwamba angekuwa mchezaji wa akiba na Ronaldo ndie atakuwa mshambuliaji wa mbele yaani kwenye mtindo wa 4-3-2-1

Hivyo basi tusubiri kesho.

Huwa na imani sana na Taarifa zako hasa kipindi hiki mara nyingi huwa ni za uhakika.
Yote kwa yote Tusubiri tuone lipi litatokea.
#COYG ..
 
Vijana walikuwa Colney wakipiga mazoezi kwa chati na kesho watamaliza rasmi maandalizi ya kukabiliana na Loserfools .... .... ... COYG Ding .... Dong!
 
Back
Top Bottom