Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,895
- 11,288
Nkukumbushe tu kua hao wanaitwa göönerz sasa usinikumbie tuuu mana kwetu tuna ghala la silaha za kivita so pole
Mishale ilishindwa kufunguka kwa Westham, sisi tunakuja kuipiga moto kabisa ghala hiyo ya silaha za kale EPL
Nakudunda hapo hapo hata ndugu zako Wacha 1 anajua ndiyo maana yupo kinywa
Last edited by a moderator: