Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nadhani Chelsea wanafanyaga maksudi kutuuzia mishipa, mwanzo ilikuwa Gallas safari hii ni Cech lol

Cech hakuwa na play time ya kutosha chelsea, ila ni kipa mzuri! Tumpe muda kidogo, pia mabeki wetu wawe wazuri nao, tusitegemee kipa tuu! Nimeangalia replay, Kolsielny aliukwepa kiasi fulani mpira wa Ward, John Terry angejitosa!
 
Prof atawaingiza Theo au Ox kipindi cha pili ..... ..... .. anatakiwa mchezaji pale mbele wa kumalizia Alexis needs more time.
 
Prof atawaingiza Theo au Ox kipindi cha pili ..... ..... .. anatakiwa mchezaji pale mbele wa kumalizia Alexis needs more time.

ningependa The Ox aingie, he runs at defenders to instill fear na ile pace yake!
 
2up 54:24 own goal pressure from Alexis Sanchez header ... .. .
 
hiki kiwanja ni kigumu, liver wanakijua vizuri, chelsea wanakijua, mancity wanakijua sina uhakika na manu!
 
Ox in ... tactical on Coq yellow card ... ... .we have played 67min so far ... . .
 
For live streaming bila chenga visit mamahd.com for all matches. Dua yangu kwa crystal palace wasawazishe iwe 2-2.
 
hiki kiwanja ni kigumu, liver wanakijua vizuri, chelsea wanakijua, mancity wanakijua sina uhakika na manu!
Man u huwa anapiga hapo Liverpool ndio kigingi chao na safari ya ubingwa EPL Iliishia hapo
11822347_1529638067076404_5148574074286663392_n.jpg
 
Back
Top Bottom