Morinyo atakuwa kanuna kweli
Duh!habari njema sana hii sasa na hiyo dili ya Arturo ikiwezekana hakika itakuwa ni patashika next season.
Next 2 or 3 seasons tutamchukuwa DDG toka Real Madrid kumrudisha PL.
Cech kapewa jezi namba ngap wakuu
Pamoja ya kumaliza ndani ya top 4 inaelekea mna wakati mgumu kuattract wachezaji chini ya miaka 27Sisi hatuoni mchezaji wa kumchukua hapo kwenu kwa sasa
Jersey number sio ya muhimu, anaweza kuvaa hata number 00 kama ingekuwa inaruhusiwa ktk Soka, cha muhimu ni kupewa nafasi ya kuchezawamesema no. ya jez itapostiwa kwenye oficial instagram account ya arsenal
come on board in the unsinkable ship, let that titanic ship go downNo special mention of the not so special
one in his letter, but understandably
praise for Roman.
I remember during the Mata saga -
although Mourinho was OK with the
move because be wanted rid, but they
would have preferred if he went abroad -
it was also reported that Roman promised
Mata if things don't change he will let
him join an EPL rival as Mata, too wanted
to stay in England.
Good signing for Arsenal, let's see if
Wenger can finally win the CL or the PL
again now with quality additions over the
last two years before he retires. If it's not
us then I'd rather see Wenger win it than
the other two lucky cash and oil clubs.
Pamoja ya kumaliza ndani ya top 4 inaelekea mna wakati mgumu kuattract wachezaji chini ya miaka 27
Depay ana miaka 40? Cech anayo mingapi? Messi/Suarez/CR7/Lahm/Vidal/Tevez/Cesc,Terry,Rooney,Ivanovic wako above 27?
mmekuwa linked na 28-30yrs old kibao apart from Depay. Case ya GK in terms of age ni tofauti na infield players. Anyway mlikuwa mnasema kumaliza top 4 kutawarahisishia kununua wachezaji lakini hadi sasa ni Depay tu ndo kanunuliwa,unasemaje juu ya hii challenge inayoonekana kuwepo kwenu?