Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mmekuwa linked na 28-30yrs old kibao apart from Depay. Case ya GK in terms of age ni tofauti na infield players. Anyway mlikuwa mnasema kumaliza top 4 kutawarahisishia kununua wachezaji lakini hadi sasa ni Depay tu ndo kanunuliwa,unasemaje juu ya hii challenge inayoonekana kuwepo kwenu?

Tatizo unasoma na kusikiliza magazeti ya udaku.

Taja mchezaji (wa under 27 ikiwezekana) ambaye Sky Sports waliripoti kuwa United walipeleka ombi rasmi na kukataliwa! Fanya hivyo kuonyesha huo ugumu ambayo United imepata...

Morgan akasaini dili J5...hapo United inakuwa imebakiza CB 1 na ST 1....
 
kumbe na wewe ni mgeni wa mpira kiasi hiki bro??? hvi kuwa linked na mchezaji inamaana tunamtaka? yaani hadi saiz tumekua linked ma wachezaji zaidi ya 29, it means wote tunawataka au ni media tu? Kane,varane, lloris, humells, gundogun, sterling, firmino, are those above 28? af kingne man u haina kiongozi zaidi ya Rooney na carrick ambao wapo above 28 that's y tunakua linked kiivo

Huyu gooner nimemshangaa kweli! Yaani anajifanya hajui udaku wa habari za usajili wa wachezaji...
 
zp_561444897_DP_2898_1697.jpg



When you play with a small club you want to move
to a bigger club ....

zp_561444897_DP_4448_6569.jpg


Colney hapo .... ....... ...


zp_561444897_DP_4542_1918.jpg


Done deal and sealed .... .. .

zp_561444897_DP_8105_9658.jpg


Good signing


 
Vimburukenge havikuchelewa kuanza kumsimanga .... .. .

2A17190500000578-0-image-a-11_1435596976678.jpg


2A17190100000578-0-image-a-8_1435596873352.jpg


2A170DC500000578-0-image-a-4_1435596804656.jpg


2A1716F000000578-0-image-a-10_1435596880398.jpg


2A17183000000578-0-image-a-3_1435596762778.jpg


2A1716DA00000578-0-image-a-9_1435596878028.jpg


2A170E8200000578-0-image-a-5_1435596810125.jpg


2A170F6A00000578-0-image-a-6_1435596819448.jpg


2A170EB800000578-0-image-a-7_1435596822682.jpg


C9WTDRZIHRseJHtx.jpg


Burning Cech jerzey ..... .. na bado!

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nicheke mie khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
kuwapa Arse88 petr Cech ni sawa na kumpa kibibi kizee iPhone 6.. hajui jins ya kuitumia .... waste of talent
 
kumbe na wewe ni mgeni wa mpira kiasi hiki bro??? hvi kuwa linked na mchezaji inamaana tunamtaka? yaani hadi saiz tumekua linked ma wachezaji zaidi ya 29, it means wote tunawataka au ni media tu? Kane,varane, lloris, humells, gundogun, sterling, firmino, are those above 28? af kingne man u haina kiongozi zaidi ya Rooney na carrick ambao wapo above 28 that's y tunakua linked kiivo

hahahaha naona hii post imetonesha vidonda.. Kila siku naona mnakuwa linked na wachezaji waliofikia ukingoni mwa career zao. Kulinkiwa na kutaka wachezaji huwa sometimes vinahusiana sababu media huwa zina fununu ya transfer activities za kila timu kipindi kama hiki. Post SAF era mmekuwa na wakati mgumu wa kuattract wachezaji wa kesho na keshokutwa. Kifupi timu yenu inaelekea kuwa kama timu za Uarabuni na MLS ambapo wachezaji wanakwenda kushindilia pensions zao kabla hawaja retire eg Victor Valdes lol. Muda si mrefu Schweinsteiger, Airjen Robben nao watakuja kujizolea pesa. Liverpool imewazidi kete kubeba allegedly transfer targets wenu Firmino na Clyne, najua mtasema hamkuwataka LOL
 
Tatizo unasoma na kusikiliza magazeti ya udaku.

Taja mchezaji (wa under 27 ikiwezekana) ambaye Sky Sports waliripoti kuwa United walipeleka ombi rasmi na kukataliwa! Fanya hivyo kuonyesha huo ugumu ambayo United imepata...

Morgan akasaini dili J5...hapo United inakuwa imebakiza CB 1 na ST 1....


LOL Firmino, Clyne(mmepiga debe dogo kaona jahazi ndio limeshaanza kuzama). unataka wengine? Morgan bado hajasaini anaweza kuanza, dogo anataka kucheza UCL na hamja guarantee hiyo spot.
 
hahahaha naona hii post imetonesha vidonda.. Kila siku naona mnakuwa linked na wachezaji waliofikia ukingoni mwa career zao. Kulinkiwa na kutaka wachezaji huwa sometimes vinahusiana sababu media huwa zina fununu ya transfer activities za kila timu kipindi kama hiki. Post SAF era mmekuwa na wakati mgumu wa kuattract wachezaji wa kesho na keshokutwa. Kifupi timu yenu inaelekea kuwa kama timu za Uarabuni na MLS ambapo wachezaji wanakwenda kushindilia pensions zao kabla hawaja retire eg Victor Valdes lol. Muda si mrefu Schweinsteiger, Airjen Robben nao watakuja kujizolea pesa. Liverpool imewazidi kete kubeba allegedly transfer targets wenu Firmino na Clyne, najua mtasema hamkuwataka LOL

hao potential players ndio wameitoa Liverpool nafasi ya pili msimu ule na kuirudisha nafasi ya 5, wakarundika wachezaji weeengi potential timu ikakosa balance,
 
mmekuwa linked na 28-30yrs old kibao apart from Depay. Case ya GK in terms of age ni tofauti na infield players. Anyway mlikuwa mnasema kumaliza top 4 kutawarahisishia kununua wachezaji lakini hadi sasa ni Depay tu ndo kanunuliwa,unasemaje juu ya hii challenge inayoonekana kuwepo kwenu?

Unasajili wachezaji kutokana mahitaji yako sio fasheni waulize Spurs na Liverpool,sio unanunua mchezaji halafu next season unahangaika kumuuza wachezaji tunaowahitaji sana kwa sasa ni CB na DM (mrithi wa Carrick) nafasi nyingine zinategemea kama tutauza (GK,Striker).Kuhusu umri baada ya kuondoka Vidic,Rio,Evra timu imekosa viongozi hasa defence (Shaw,Blind,Rafael,Jones,Blacket,Smalling,Rojo) wote hao ni U27.John Terry pamoja na umri mkubwa still ndio roho ya timu ya Chelsea
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
LOL Firmino, Clyne(mmepiga debe dogo kaona jahazi ndio limeshaanza kuzama). unataka wengine? Morgan bado hajasaini anaweza kuanza, dogo anataka kucheza UCL na hamja guarantee hiyo spot.

Tuna wachezaji wa kingereza wa kutosha (Carick,Rooney,Jones,Smalling,McNair,Wilson,Shaw,Young ) hawa wanatutosha mwache Rodgers aendelee kuwatengenezea timu ya waingereza
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Tottenham imefika robo fainali ya UCL Mara nyingi kuliko Arsenal katika hii miaka 6 ya mwisho
 
Back
Top Bottom