Arsenal Team: Kipa Szczesny, Beki wa kulia Bellerin, kati namba4 ni Mertesacker na mkoba ni Koscielny. Kushoto kuna beki Monreal, namb sita ni Coquelin, namba nane Santiago Cazorla, namba saba Ramsey, namba nane ni Ozil,namba tisa ni Theo Walcott na namba 10 ni Alexis Sanchez.
Wacheaji wa akiba: Gibbs, Gabriel, Wilshere, Giroud, Ospina, Oxlade-Chamberlain, Flamini.
Aston Villa Team: Kipa Given, beki wa kulia ni Hutton, kati kuna Vlaar na Okore, beki wa kushoto ni Richardson, namba sita ni Westwood, saba ni nahodha Fabian Delph, namba nane ni Cleverley, kumi ni Grealish, namba 11 ni N'Zogbia, na namba tisa ni Christian Benteke.
Wachezaji wa akiba: Guzan, Baker, Bacuna, Sinclair, Agbonlahor, Cole, Sanchez.
Mwamuzi ni Jon Moss ambae ni mzaliwa wa Wilaya ya Yorkshire Magharibi. au West Yorkshire.