Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni kweli mkuu lakini si unamjua Prof. Wenga hapendi masuperstar wakubwa sana,,,,falsafa yake ni kuwatengeneza!! Vile vile nimesikiasikia anamtaka A Vidal! Kuna ukweli wowote?

Suala la Vidal linategemea na kama Juventus watakamilsha usajili wa Khedira, ingawa Juve wamethibitisha hitaji lao kwa Khedira.
 
hii isue ya Vidal imepamba mote sana kwenye magazeti yote. Lakini bado haija thibitishwa na Arsenal kama watamchukua. Na mpaka sasa Arsenal ndio inatia kimuhemuhe kwenye tetesi za usajil. Mwisho wa siku atakuja mtu ambaye hatutegemei.
 
Wachezaji ambao huwa wanaandikwa sana kuwa watajiunga na arsenal huwa tunaishia maumivu tu m paka arsenal.com waandike wao ila sijui mbwembwe za udaku za the mirror, Telegraph au independent huwa siziamini kabisa
 
Count down kuwanyamazisha ma-haters kwa mara ya pili mfululizo then itafuata kuwanyamazisha kwa kubeba EPL msimu ujao.

Tuweke bet mapema kabisa...Arsenal akishinda EPL mwakani chini ya Wenger nitakulipa US$ 200 (wewe weka jiwe), na sitachangia wala kuingia kwenye JF Sports.

Msimu huu nimekula vichwa vya Loserfools....ila jamaa waswahili wameshindwa kutimiza bet...wanabaki kulialia tu juu ya Blandina Rogers 😂😂
 
Tuweke bet mapema kabisa...Arsenal akishinda EPL mwakani chini ya Wenger nitakulipa US$ 200 (wewe weka jiwe), na sitachangia wala kuingia kwenye JF Sports.

Msimu huu nimekula vichwa vya Loserfools....ila jamaa waswahili wameshindwa kutimiza bet...wanabaki kulialia tu juu ya Blandina Rogers 

Okay, the bet is on. $200.00. Usije kukimbia tu. Sasa hivi nazisevu hizi posts katika flash drive. tuombe uzima tuwepo May mwakani.
 
11216510_10153127111062713_7185233970893756284_o.jpg
 
Agbonlahor....Grealish....Benteke.

I have a dream we shall see wonders today. I see misery for Arsenal fans...inshallah tutaiona hii game!!!
 
Agbonlahor....Grealish....Benteke.

I have a dream we shall see wonders today. I see misery for Arsenal fans...inshallah tutaiona hii game!!!

arsenal anatabia ya kuvionea vitimu vidogo vidogo hvi, lakn nikikumbuka walivochukua hyo FA dhidi ya hull city msimu uliopita, mmmmmh game itakua ngumu, lets wait and see
 
tunapiga mtu 3 bila leo. huyu aston villa msimu huu kwn ligi tumempiga jumla ya goli 8-1 on aggregate
 
BAK nakumbuka our promise nimekaribia kwa nguvu zote nimeandaa maua na champagne za kutosha sasa ole wenu msishinde........kila la heri.......
 
Last edited by a moderator:
Hilo wala lisikuweke roho juu na kukupa pressure. Utashuhudia leo tukifanya yetu katika mechi ya kukata na shoka na kuchukua kombe kwa mwaka wa pili mfululizo. Shukrani sana kwa Champagne na maua.

11051998_10153127254167713_2395943692672678428_n.jpg


BAK nakumbuka our promise nimekaribia kwa nguvu zote nimeandaa maua na champagne za kutosha sasa ole wenu msishinde........kila la heri.......
 
Hilo wala lisikuweke roho juu na kukupa pressure. Utashuhudia leo tukifanya yetu katika mechi ya kukata na shoka na kuchukua kombe kwa mwaka wa pili mfululizo. Shukrani sana kwa Champagne na maua.

11051998_10153127254167713_2395943692672678428_n.jpg

Fabian Delph (C) - Jack Grealish & Charles N'zogbia - Gabriel Agbonlahor & Christian Benteke.

Be very afraid...be very!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
AV is a very good team and it won't be easy, but the determination to defend our title will see us through.


Fabian Delph (C) - Jack Grealish & Charles N'zogbia - Gabriel Agbonlahor & Christian Benteke.

Be very afraid...be very!!!
 
Back
Top Bottom