Teh teh the mimi sijawahi kukimbia nilikuwa napokea sindano zao hivyo hivyo najikaza kikike kama si kiume ila wao sasa likibuma wanakimbia humu miezi mpaka wasawazishe tena..... rubaman aliniahidi atarudi kwenye final ya FA eti anataka kuwa mbali na mitandao nashangaa leo kajaa tele hadi kule anatusumbua 😀😀
Kumbe unajidai khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeengoja tuchukue FA Cup kwanza si unafahamu leo tulikuwa tunamsghughulikia mtemi aliyewachabanga cheslick tatu mtungi khe khe he khe he kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Ding ... Dong.
Duh!! Katika hii picha kuna kitu nimekiona ila siri yangu......
😀😀😀😀😀 mwenzangu macho hayana pazia! Najiwazia tu hapa alifikiri nini mpaka ikawa hivyo..... Duh!!hahahahahahah lol! utapofuka macho weye!!!!! Una macho makali sana.
....lol! labda mchepuko umemruhusu arudi huku wiki moja kabla. Hapo kwenye rangi ni aje!
:msela::msela::msela:
😀😀😀😀😀 mwenzangu macho hayana pazia! Najiwazia tu hapa alifikiri nini mpaka ikawa hivyo..... Duh!!
:behindsofa::behindsofa::behindsofa:
Kumbe unajidai khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeengoja tuchukue FA Cup kwanza si unafahamu leo tulikuwa tunamsghughulikia mtemi aliyewachabanga cheslick tatu mtungi khe khe he khe he kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.Ding ... Dong.
Teh teh teh hivi ushaenda kule kwa mafioso (according to Wacha1)? Mbona watakukoma?? Hongera sana umekuwa na kismati mwenzetu........